Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 25,443
- 46,201
Tatizo lilianzia hapo kwenye Usingle Mama.
AiseeeeeKauze k huko huna jipya. Unataka kumfanya mmeo roboti la familia?
Kafie mbele huko
Ikawaje?Yupo fala kama wewe alinifanyia huo jinga.
Jamaa tuu kaamua amsaidie kulea mtoto wake sasa analeta jeuri ya kupanga.Huyo ni mumeo au mwanaume tu unayeishi naye?
Ah naona kiaina unanipigia pande kwa mrembo aje nikule mbususuNenda kaanze upya mwaya.
Umeshaona mahali hapakufai na hutakiwi unataka ubaki ulazimishe ili iweje? Hakunaga bingwa wa ndoa, wala mapenzi.
Tuliza akili...Stay focused. Cheza kwa step ikiwezekana hama kabisa mbali na hapo. Angalia mahitaji ya mwanao. Ukituliza akili hata mbususu itatulizwa haitachakatwa na kina mzabzab.
Mtangulize Mungu. All the best.
Hatuwezi jua kati yenu mwenye tatizo ni nani, mi ninachoshauri sio lazima kuoa/kuolewa. Kuna watu mna tabia ngumu hamuwezi kuishi na mtu yeyote duniani, jitahidini kuishi pekeyenu.
Tujifanyie self assessment kujua kama tunaweza kuishi na wenza.
Mume
Kwa Nini unaisi na mme usie zaa nae?Iko hivi nimekua katika ugomvi wa mda mrefu na mwenzangu( mume) bila kupata suruhu
Maumivu ni makali hasa dharau ndani mtu kuwa na wanawake hadharan Wala hajali hata ukilia unaoneka unampigia kelele tu. Nimeamua kurudi nyumban kwanza kupumzika.
Ninawiki sasa nataka nirudi kwangu ila nikapange chumba sababu ninabiasharaa uko na nimefungua, pia ninamtoto nadhan trh 19 anafungua shule.
Ninavikoba marejesho ya kutosha natakiwa ada mtoto akifungua shule, maana sio mtoto wake, je nikiendelea kukaa nyumban haya mahitaji nitafanyaje?
Nawaza nitoke na godoro nyumban nikapange tu Ili niendelee kujipatia mahitaji
Ninamtoto nae 1Kwa Nini unaisi na mme usie zaa nae?
Happy Amosi kwanza pole kwa mitihani hiyo.Iko hivi nimekua katika ugomvi wa mda mrefu na mwenzangu( mume) bila kupata suruhu
Maumivu ni makali hasa dharau ndani mtu kuwa na wanawake hadharan Wala hajali hata ukilia unaoneka unampigia kelele tu. Nimeamua kurudi nyumban kwanza kupumzika.
Ninawiki sasa nataka nirudi kwangu ila nikapange chumba sababu ninabiasharaa uko na nimefungua, pia ninamtoto nadhan trh 19 anafungua shule.
Ninavikoba marejesho ya kutosha natakiwa ada mtoto akifungua shule, maana sio mtoto wake, je nikiendelea kukaa nyumban haya mahitaji nitafanyaje?
Nawaza nitoke na godoro nyumban nikapange tu Ili niendelee kujipatia mahitaji
🤣🤣🤣🤣Wanawake wakitanzania mnatutesa sana sisi wanaume ni vikoba vyenu,hata kitandani hamna hisia kabisa sababu yakuwaza upatu
Ushauri murua!Kauze k huko huna jipya. Unataka kumfanya mmeo roboti la familia?
Kafie mbele huko
Ww mwache aje kitaa mbususu yake italiwa mpaka atakapoirudisha kwa mumewe.....Me nakushauri rudi kwa baba mtoto uliyezaa naye uku mtaani utaliwa mbususu adi ukome nakuambia kimbia haraka sana maisha ya usingo mama yatakutesa sana kiukweli na unaonyesha dhairi ww unashida maana ni mme wa pili sasa uyo anakuacha kaa chini tafakari unapokosea na ujirekebishe
Ww kuna mwanaume asiyeto.....mba nje!!!mwambieni huyo mwanamke mwenzenu aache ukichaa....Nenda kaanze upya mwaya.
Umeshaona mahali hapakufai na hutakiwi unataka ubaki ulazimishe ili iweje? Hakunaga bingwa wa ndoa, wala mapenzi.
Tuliza akili...Stay focused. Cheza kwa step ikiwezekana hama kabisa mbali na hapo. Angalia mahitaji ya mwanao. Ukituliza akili hata mbususu itatulizwa haitachakatwa na kina mzabzab.
Mtangulize Mungu. All the best.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wakitanzania mnatutesa sana sisi wanaume ni vikoba vyenu,hata kitandani hamna hisia kabisa sababu yakuwaza upatu