Itategemea na makubaliano yenu unataka mzee akale wapi?
Waungwana Salaam!
Niende moja kwa moja kwenye hoja, je ni sahihi na halali kwa mzazi anayeishi na watoto wake watu wazima nyumbani na hawasomi kuwalipisha kodi ya nyumba na gharama zingine kama umeme, maji nk?
Sent using Jamii Forums mobile app