Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
NdioWapendwa tumezoea kuona au kusikia Watoto wakisusia Chakula kwa sababu mbalimbali hadi wabembelezwe na Wazazi wao.
Je ni sahihi kwa Mwanaume kufanya hivyo kama ilivyo kwenye picha hapo chini.
Tumuite yule pisi kali wa jf, anayeitwa BIA YETU aje atupe ufafanuziKabisa nambembelezea mtu mzima chakula???
Muda mwingine watu wananjaa ya papuchilo ila wanashindwa kusema , wanaishia kususaDuuh!! Inategemea japo kama hakuna ugomvi suluhisho si kumbembeleza bali ni kumuuliza chakula kipi ambacho atakifurahia kula basi baada ya hapo aandaliwe ili ale huku moyo wake ukiwa umeridhia.
Sababu si mtoto mdogo huyo akisusa ujue hajakipenda.
Akisusa vijana wa boda boda na fresh graduate watakula😂Wapendwa tumezoea kuona au kusikia Watoto wakisusia Chakula kwa sababu mbalimbali hadi wabembelezwe na Wazazi wao.
Je ni sahihi kwa Mwanaume kufanya hivyo kama ilivyo kwenye picha hapo chini.
Kama kwa mke wake ni sawa tu, na angalie vyakula vya kususa, vile vyakula vya usiku ukisusa wengine watakusaidia kula.
Let's meet at the top, cheers
Sasa akisusa ndo huyo mwanamke atajua?Muda mwingine watu wananjaa ya papuchilo ila wanashindwa kusema , wanaishia kususa
Sent using Jamii Forums mobile app
sa uliolewai ili iweje!? si ukae bachela tuMwanaume kususa ni ujinga na uzwazwa tena Mimi akisusa nafurahi Sana nakula nyama zote kilichobaki nampa mbwa tunalala na kesho yake simubakishii ili aendelee kususa vizuri
Sasa mtu kasusa nimfanyeje hata Kama amenioa, nimubebe mgongoni?sa uliolewai ili iweje!? si ukae bachela tu
Ila mtu anaye Susa Susa ana hitaji upendo that's why?
Ila Kuna wanaume wanapenda kususa kitu hakijampendeza badala aseme yeye atasusa akifikiri umeelewa kosa kumbe hata hujui kosa lako. Kususa ni ujingaUpendo, kubembelezwa i think every man needs that, ila kususa sasa ni exceptional, tabia za kike hizo ukiona mwanaume ana hizo tabia ujue Kuna walakini kidogo.
Let's meet at the top, cheers
Bia yetu ye anahusikaje???Tumuite yule pisi kali wa jf, anayeitwa BIA YETU aje atupe ufafanuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Amekutana sana na maswahibu ya kususiwa msosi na wanaume wakeBia yetu ye anahusikaje???