Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,672
- 225,304
jamaniNimepata dawa yake loh
jamaniNimepata dawa yake loh
Upuuzi tu na kukera tu hivi wababa wetu walikuwa wanasusa kama hawa wadoti com?Sasa mwanaume unanuna ili iweje ubembelezwe kwani wewe ni mtoto?
Wanakera sana
Wababa wetu walikuwa wanaume kweli kususa mwiko na walipekekwa jandoni Hawa wa sasa ni shida kutwa kushindana na wanawakeUpuuzi tu na kukera tu hivi wababa wetu walikuwa wanasusa kama hawa wadoti com?
Nimechoka mie jamanijamani
Halafu ndiyo wakwanza kuwananga wanawake, wakati wao hawajui kusimama kama baba mwenye nyumba ,wanawake tunabebeshwa misalaba ya chuma na misumari bila sababuWababa wetu walikuwa wanaume kweli kususa mwiko na walipekekwa jandoni Hawa wa sasa ni shida kutwa kushindana na wanawake
Imagine uhangaike na watoto, bado na mtu mzima uhisi alichochukia eti umubembelezeHalafu ndiyo wakwanza kuwananga wanawake, wakati wao hawajui kusimama kama baba mwenye nyumba ,wanawake tunabebeshwa misalaba ya chuma na misumari bila sababu
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Si ndiyo hapo sasaImagine uhangaike na watoto, bado na mtu mzima uhisi alichochukia eti umubembeleze
Mkuu..una mume?Imagine uhangaike na watoto, bado na mtu mzima uhisi alichochukia eti umubembeleze