Babafetty
Senior Member
- Nov 11, 2013
- 107
- 107
mambo vp wadau,
naombeni ushauri wa kitaalamu na uzoefu wenu ktk hili,
nataka kununua gari dogo, yenye CC ndogo kwa matumizi ya nyumban,
ndugu yang anafanya kaz, bosi wake wa kike anagari aina starlet, kwa nwenekano bado nzur, anapofanya kaz na nyumban kwake sio mbali,
kaongea naye akasema nipeleke kias kat ya 3m - 4 M.
ila hoja yang ya msingi,
ni sahihi kununua gar yenye namba A?
take note: cna ela ya kuongezea kwa ajili ya kununua gar mpya.
ushaur tafadhali
naombeni ushauri wa kitaalamu na uzoefu wenu ktk hili,
nataka kununua gari dogo, yenye CC ndogo kwa matumizi ya nyumban,
ndugu yang anafanya kaz, bosi wake wa kike anagari aina starlet, kwa nwenekano bado nzur, anapofanya kaz na nyumban kwake sio mbali,
kaongea naye akasema nipeleke kias kat ya 3m - 4 M.
ila hoja yang ya msingi,
ni sahihi kununua gar yenye namba A?
take note: cna ela ya kuongezea kwa ajili ya kununua gar mpya.
ushaur tafadhali