Ikiwa ni ruhusa labda mtu awe na kibali ,ni urahisi upi uliopo wa kupata kibali ?
Kuna nchi hizi za dunia ya tatu wananchi wanabeba silaha,hapo Somali ni kawaida kumkuta mtu ana kifaru nje ya nyumba ,Yemeni watu wazima mjini na watoto mnijishamba wanabeba smg na risasi zinauzwa sokoni kama njugu ,ajabu husikii mapigano ya kipumbavu au mtu kapigwa risasi ,wala mambo ya ujambazi sijui kateka au katekwa ,huyasikii .
Je binadamu wa nchi hizo wanaheshimiana na kila mtu na lake ,wale wa "dont touch me"
Je inawezekana Tanzania watu wakaruhusiwa kila anaetaka kubeba silaha na abebe. Au akili zetu hazipo sawa ?
Kuna nchi hizi za dunia ya tatu wananchi wanabeba silaha,hapo Somali ni kawaida kumkuta mtu ana kifaru nje ya nyumba ,Yemeni watu wazima mjini na watoto mnijishamba wanabeba smg na risasi zinauzwa sokoni kama njugu ,ajabu husikii mapigano ya kipumbavu au mtu kapigwa risasi ,wala mambo ya ujambazi sijui kateka au katekwa ,huyasikii .
Je binadamu wa nchi hizo wanaheshimiana na kila mtu na lake ,wale wa "dont touch me"
Je inawezekana Tanzania watu wakaruhusiwa kila anaetaka kubeba silaha na abebe. Au akili zetu hazipo sawa ?
