Nilifikiri SMG ni short machine gun maana pia pana LMG ikimaanisha LongSMG maana yake ni Sub Machine Gun.
Zipo SMG aina nyingi sana na zinakuwa categorized na ile rate of fire, yaani idadi ya risasi zinazotemwa kwa dakika.
AK47 ni aina moja tu kati ya aina nyingi za SMG.
AK47(Mikhail Klasnikov) ni kifupi cha mgunduzi Mrusi wa silaha hii aliyeigundua mwaka 1947.
Smg ni single shot whilst Ak47 ni mjegejo
Duuu mbona umepotosha sana hapo.Smg ni single shot whilst Ak47 ni mjegejo
Acha ujuha wewe SMG unaweza kuweka hata risasi 15ooAcha uongo, hakuna SMG unayoweza kupiga risasi 400 hadi 800 kwa dakika
Kwanza magazine 1 inapakia risasi 30 ili upige risasi 300 tu inakubidi uwe na magazine kumi tena ziwe na risasi kabisa yani uwe unabadilisha magazine tu
SMG inaanza na S while AK 47 inaanza A
SMG ni Said Maulid while AK ni Angela kairuki
Sahihisho: LMG, L sio long, ni lightNilifikiri SMG ni short machine gun maana pia pana LMG ikimaanisha Long
Hebu tueleweshe unawekaje hizo risasi 1500 kwenye SMG moja?Acha ujuha wewe SMG unaweza kuweka hata risasi 15oo
LMG ni Light machine gun (risasi 100-mkanda)Nilifikiri SMG ni short machine gun maana pia pana LMG ikimaanisha Long
Teh teh teh.....ukisimama nchale ukikaa nchale ukilala nchaleMkifika kwenye kujadili pinde na mishale mniamshe
Acha ujuha wewe SMG unaweza kuweka hata risasi 15oo
Wakati serikal ikipiga vikal viroba,sembe na bangi jaman kuna watu kama huyo jamaa hawakumfikiria kabisa maana madhara ya ukosefu wa hivyo vitu ndo kama hivi sasa...Huyu jamaa lazma anatumia viroba
Magazine ya SMG inachukua risasi 30 na wala haisuport mkanda wa risasi hizo 300 kwa dakika sioMkuu hizo ni silaha za kivita na huwa zinahodhiwa na majeshi tu.
Hata ukipata SMG hutoweza kuwa na ubavu wa kulishia risasi zake maana zinaweza kupiga risasi 400 hadi 800 kwa dakika.
Ok, siwezi kubishana na ww usikute hiyo SMG yenyewe hujawahi hata kuishika alafu unaleta ujuajiAcha ujuha wewe SMG unaweza kuweka hata risasi 15oo
we Afande Ndo nimekuelewa hongera nadhani uliowafundisha kwa sasa ni askar wazuri sanaSMG VS AK47 hizo zote ni siraha aina moja . kinachotofautusha ni nchi ziliko tengenezwa.
Pia unatakiwa ujue kwamba hakuna siraha duniani ambayo jina lake ni SMG .
Hlo Jina la SMG ni tabia ya siraha ambayo kirefu chake ni sub machine gun. SMG ni siraha yoyote yenye mapigo ya aina mbili hapa namaanisha chaguzi za upigani .
Inakuwa na single fire na rapid fire .
Hizo siraha zmetengezwa mataifa tofauti tofauti ambapo kwa mrusi inajulikana ni AK 47 ,kwa mchina inajulikana 76.5mm , kwa mjerumani inajulikana kama G3:, kwa mwisrael inajulikana kama uz gun ,kwa mwingereza na marekani inajulikana kama M 16 .
Hizo zote ni SMG yaan ina mapigo mawili. Kuitwa SMG ni mazoea yetu watz lakn hakuna siraha duniani inayoitwa SMG ...
Kinachozitifautisha ni caliber..