Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,774
- 2,201
CCM
Walimuuwa mwenye haki,wakafikiri watatawala kwa amani nabado mpaka watubu
Mi nawaomba watusaidie jamani najua tunawalipa kwa kodi zetuHata hao unaowasema walishajichokea,
1.SSIT ni taaluma yenye heshima.
Unamwingiza kada afanye kazi zisizo zake na huku alishafiji kitambulisho cha fani hiyohiyo.
2.Makada wawe wanawanunua upinzani kwa bei na kwa amri toka juu.
KATIBA KATIBA KATIBA
Watanzania tulio wengi ni "Mazuzu" kwa tafsiri ya Professor aliyesema Muhimili mmoja wa Nchi umejaa Mazuzu (Kwa maana nyingine hatujitambui).Karibuni tuyabainishe sote labda viongozi watafunguka akili karibuni.
Tatizo la maji ni nchi nzima.Hebu na mie niandike walau kidogo tena kwa uchungu wa kulia kabisa
Kuna watu pahala wanazembea(sina neno mbadala) kumsaidia mama na lawama hii naielekeza kwanza ni TISS
TISS mna mikono hodari macho yenye lenzi kali lakini mmeshindwa kumsaidia mama
Watu wanatuchezea Watanzania kabisa nawambia. Sina ushahidi wowote lakini kabisa nawaeleza roho wa Mungu kuna kitu ananiambia kwamba haya yanayoendelea ni hujuma.
Haiwezekani leo tu eti mabwawa hayana maji kwahiyo umeme wa mgao
Leo tu mala eti hakuna maji dar na dodoma
Leo tu gafla sijui hiki sijui kile ....
Hizi makitu mbona hazikuwepo wakati wa Baba?
Nawaomba sana nyie watu saidieni nchi isonge mbele waonaotuhujumu mnawajua mwogopeni Mungu jamani tusaidieni Watanzania
Mkiamua mnaweza basi roho wa Mungu awape kutenda kwa hekima mkitanguliza maslahi ya wanyonge.
Ngoja nakuambie linalotusumbuKaribuni tuyabainishe sote labda viongozi watafunguka akili karibuni.
Tatizo limeanzia hapa MkuuKaribuni tuyabainishe sote labda viongozi watafunguka akili karibuni.
Tatizo la Kwanza ni chama cha mapinduzi
SiAsa Chafu alizopandikiza mwendakuzimu.
CCM tuKaribuni tuyabainishe sote labda viongozi watafunguka akili karibuni.
KiburiKaribuni tuyabainishe sote labda viongozi watafunguka akili karibuni.
Tatizo la Kwanza ni chama cha mapinduzi
siasa chafu ndio zinafanya mpaka sasa hujaoga siku ya tatu.
nyinyi mnaoshindwa kukubali mchango wake ndio mnafanya nchi inaandamwa na mikosi kila kukicha,amefariki badala maisha yenu yabadilike bado mnanuka njaa na ufukara usiomithirika.
Yeye ndio alitutia ufukara, ni bora hayupo.
kama hayupo na bado mna ufukara hamuoni kama kuna kitu hakiko sawa!!!
Mtoto asipolia hatanyonyeshwa. watume nao wataitikia ukikaa kimya kwa ajili ya kulinda maslahi yako nao watakuacha.Mi nawaomba watusaidie jamani najua tunawalipa kwa kodi zetu
Hebu watekeleze majukumu yao kwa weledi wailinde nchi.
Mbona haya waliyaweza wakati ule? Umaarufu wote wa Baba ilikuwa ni wao nyuma yake
Wanakwama wapi wakati huu tunapowahitaji?