Je, ni nini kinacholitesa a taifa hili kwa sasa?

Tatizo ni kwamba walipopata madaraka badala ya kufanya kazi walarelax na kumtukana jiwe sasa wanshituka nchi inaangamia.inakuwa umeme na maji yakosekani ten miji yote hata ile ambayo tuko karibu na ziwa kama chato..mwqnza na mbeya
 
nakumbuka kipindi.cha kwanza cha utawala wa kikwete walisema hivihivi.kwamba kuna shida ya maji na picha za uwongo ziliwekwa.
lakini kumbe kuna mtu.alikua na kampuni yake ya kuuza majenereta.
kila kona makelele ya majenereta.

samia.asipokua makini watamchezesha kindumbwendumbwe hadi ashangae.
kuna watu.wanajipanga 2025 hapo.
 
Hebu na mie niandike walau kidogo tena kwa uchungu wa kulia kabisa
Kuna watu pahala wanazembea(sina neno mbadala) kumsaidia mama na lawama hii naielekeza kwanza ni TISS
TISS mna mikono hodari macho yenye lenzi kali lakini mmeshindwa kumsaidia mama
Watu wanatuchezea Watanzania kabisa nawambia. Sina ushahidi wowote lakini kabisa nawaeleza roho wa Mungu kuna kitu ananiambia kwamba haya yanayoendelea ni hujuma.
Haiwezekani leo tu eti mabwawa hayana maji kwahiyo umeme wa mgao
Leo tu mala eti hakuna maji dar na dodoma
Leo tu gafla sijui hiki sijui kile ....
Hizi makitu mbona hazikuwepo wakati wa Baba?
Nawaomba sana nyie watu saidieni nchi isonge mbele waonaotuhujumu mnawajua mwogopeni Mungu jamani tusaidieni Watanzania
Mkiamua mnaweza basi roho wa Mungu awape kutenda kwa hekima mkitanguliza maslahi ya wanyonge.
 
Duh...maana kwA hali ya kawaida haiwezekani uwe na ardhi ambayo 30% ni kwaajili parks na reserves,mito na maziwa ya kutosha ,gesi asilia,madini ya kutosha,uwe na pwani ndefu ,uoto wa asili,mifugo ya kutosha ,ardhi ya kutosha alafu usiwe na maendeleo...lazma binadamu wanaishi kwenye hiyo nchi tajwa,Lazima watakua wa tofauti 😆
 
Shida kubwa inayolikumba taifa letu ni kukosa priorities. Shida zetu, matatizo yetu yanafahamika vizuri sana. Mfano, kuna idadi kubwa sana ya watu wanaishi kando kando ya vyanzo vya maji lakini mpaka leo hawana maji safi na salama. Utashangaa kuona wanatumia maji hayohayo wao na mifugo wao. Tatizo lingine ni kuwaamini sana wanasiasa kwamba ndio watatuletea kila hitaji letu la maisha. Tatu ni kuwaza matukio ya kisiasa na kuyapa kipaumbele kuliko maisha yetu ya sasa na yajayo. Mtu anachaguliwa leo baada ya mwaka au miezi anaanza kujupanga kwamba atarudi au hatarudi kwenye uchaguzi ujao. Nne bado tuna viongozi wanaojisahau kuwatumikia watu. Kiongozi anachaguliwa anaacha eneo lake la kiutawala anahamia sehemu nyingine hasa mijini ili kukidhi matakwa yake binafsi. Tano bado wananchi hatuna nguvu za kuwawajibisha viongozi wetu. Mfano kiongozi anapiga kampeni anatoa ahadi kibao. Akishindwa kuzitekeleza hatuna namna ya kumuwajibisha. Sita bado chaguzi zetu zimejaa makandokando. Saba bado sheria zetu ni butu sana. Nane bado elimu yetu haijamuwezesha mtu kuwa critical thinker. Tisa ubinafsi. Unakuta mwananchi ana kipato kizuri tu. Lakini mtaani anapoishi hata barabara anayopita kwenda na kutoka nyumbani kwake haipitiki au hakuna maji. Akishajitengenezea mazingira mazuri yake yeye na familia yake, wwngine muisubiri serikali. Mengine ongezeni.
 
Kwamsisi wa upande wa imani za kidini tunasema:
Amesema Mtume Swallahllahu alayhi wa sallam :
"Hawatofaulu Watu (Wanaume) kwa kumtawalisha Mwanamke katika Jambo lao. "

Imepokewa na Bukhariy, Hadith no.4445.
 
Hebu na mie niandike walau kidogo tena kwa uch7ngu wa kulia kabisa
Kuna watu pahala wanazembea kumsaidia mama na lawama ya kwanza ni TISS
TISS mna mikono hodari macho yenye lenzi kali lakini mmeshindwa kumsaidia mama
Watu wanatuchezea Watanzania kabisa nawambia. Sina ushahidi wowote lakini kabisa nawaeleza roho Mungu kuna kitu ananiambia kwamba haya yanayoendelea ni hujuma.
Haiwezekani leo tu eti mabwawa hayana maji
Leo tu mala eti hakuna maji
Leo tu gafla sijui hiki sijui kile ....
Nawaomba sana nyie watu saidieni nchi isonge mbele waonaotuhujumu mnawajua mwogopeni Mungu jamani tusaidieni Watanzania
Mkiamua mnaweza basi roho wa Mungu awape kutenda kwa hekima mkitanguliza maslahi ya wanyonge.
Hata hao unaowasema walishajichokea,
1.SSIT ni taaluma yenye heshima.
Unamwingiza kada afanye kazi zisizo zake na huku alishafiji kitambulisho cha fani hiyohiyo.
2.Makada wawe wanawanunua upinzani kwa bei na kwa amri toka juu.

KATIBA KATIBA KATIBA
 
Back
Top Bottom