Je, ni nini hasa faida ya kuoa?

Je, ni nini hasa faida ya kuoa?

mkuu we naona hatuelewani
hamuelewan kwa sababu hueleweki, hata mm pia kwny list ya faida ulizotaja cjaona faida yenye mashiko et nioe ili nimjue mwanamke kiundani ...khaaaa ili iwaje kwa mfano
 
Habari wakuu,

Mimi ni kijana niliyefikisha umri wa kuoa nina 27 kwa sasa, ni kwamba familia na jamii inayonizunguka naona wananisisitiza sana nioe eti kwakuwa nina kazi nzuri na ninajimudu kimaisha. Lakini kwa mtazamo wangu sioni ka kuna ulazima katika hili ukizingatia chochote ninachokitaka naweza kukipata kwa wakati kwa sasa, asa kwanini nijibebeshe mzigo?

Naombeni ushauri zaidi wadau katika hili huenda naweza shawishika nikabadili mtizamo wangu
Endelea tu kula bata, life begins at 40 wasikuchoshe!!
 
Kuoa au kuolewa ni mpango au agizo la Mungu. Hivyo kama huna tatizo lolote la kiafya linaloweza kukuzuia usioe au kama si mseja; Basi ukioa utakuwa unatiii AGIZO la Mungu la kuoa na hatimaye kushiriki katika kuijaza dunia kwa watoto mtakao wazaa na mkeo mkiwa ndani ya ndoa.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Yaweza kuwa unawaza hata Baba yako unamzidi hakili kwakua unakazi nzuri na hawezi kukushauri chochote..kama si hivo ungesha msikiliza mzee wako na ukatuletea mrejesho 27 ni namba sahihi hasa ukiwa na kazi nzuri kama yako japo siifaham the point is oa. wanao ukuona wanajua umekua Lakini we huwezi kujijua
 
Yaani mtu una miaka 27 lakini bado hujafahamu umuhimu wa kuoa??

Umri Huo ulipaswa uwe na familia yako tayari.
 
Iman ya dini yako haikuambi UONE ? Kama una utayari na umempata mtu sahihi nsugu jiunge na chama cha heahim kns NDOA
 
Habari wakuu,

Mimi ni kijana niliyefikisha umri wa kuoa nina 27 kwa sasa, ni kwamba familia na jamii inayonizunguka naona wananisisitiza sana nioe eti kwakuwa nina kazi nzuri na ninajimudu kimaisha. Lakini kwa mtazamo wangu sioni ka kuna ulazima katika hili ukizingatia chochote ninachokitaka naweza kukipata kwa wakati kwa sasa, asa kwanini nijibebeshe mzigo?

Naombeni ushauri zaidi wadau katika hili huenda naweza shawishika nikabadili mtizamo wangu
Ticket ya uhakika ya mechi mda wote iwe jua,masika,vuli au kiangazi ni mechi tu
 
Ticket ya uhakika ya mechi mda wote iwe jua,masika,vuli au kiangazi ni mechi tu
Hili ni muhimu zaidi kwani kinyume cha chapo itakusababishia uanze kuwaka tamaa za mwili,kitu ambacho ni dhambi...
 
Back
Top Bottom