Jarren Jackson
Member
- Jun 11, 2020
- 44
- 61
Habari wakuu,
Mimi ni kijana niliyefikisha umri wa kuoa nina 27 kwa sasa, ni kwamba familia na jamii inayonizunguka naona wananisisitiza sana nioe eti kwakuwa nina kazi nzuri na ninajimudu kimaisha. Lakini kwa mtazamo wangu sioni ka kuna ulazima katika hili ukizingatia chochote ninachokitaka naweza kukipata kwa wakati kwa sasa, asa kwanini nijibebeshe mzigo?
Naombeni ushauri zaidi wadau katika hili huenda naweza shawishika nikabadili mtizamo wangu
Mimi ni kijana niliyefikisha umri wa kuoa nina 27 kwa sasa, ni kwamba familia na jamii inayonizunguka naona wananisisitiza sana nioe eti kwakuwa nina kazi nzuri na ninajimudu kimaisha. Lakini kwa mtazamo wangu sioni ka kuna ulazima katika hili ukizingatia chochote ninachokitaka naweza kukipata kwa wakati kwa sasa, asa kwanini nijibebeshe mzigo?
Naombeni ushauri zaidi wadau katika hili huenda naweza shawishika nikabadili mtizamo wangu