Asante kwa ushauri mzuriUsioe
Hadi siku ukiridhia na ukaona ni muhimu kwako ndo uoe..epuka shinikizo
HahahaHamna faida ya kuoa utafugaje binadamu kula bata
ndio tusaidiane kueleweshana hizo faida mkuu tusiishi kwa kukaririmiaka 27 hadi leo hujui umuhimu wa kuoa, nakusikitikia sana
kweli watu tunatofautiana
1.HESHIMA=PESAmiongoni mwa faida za kuoa ni kupata familia ambayo ndo faraja kuu katika maisha ya mwanadam, pia unapata kuheshimika katika jamii na nk...
Hata Mimi hiki kitu hua nakihofia sana kama ni watoto naweza kuwapata hata bila hio ndoa na naweza kuwalea na wakaishi maisha ya furaha tu. asa kwanini nijifunge kwny ndoaMasuala ya kuoa achana nayo .. Yaani utajiingiza katika gereza la maisha bila kutarajia
Umemaliza me naiamini pesa kuliko kitu kingine chochote kile1.HESHIMA=PESA
2.FARAJA=PESA
1. Ndoa inakujengea heshima kwenye jamiindio tusaidiane kueleweshana hizo faida mkuu tusiishi kwa kukariri
hiyo orodha haijaonyesha faida ya kuoa kama mleta mada alivyotarajia. naona tu umeorodhesha hali unayokuwemo ukioa. na bahat mbaya mengi umetaja ni ya kumkimbiza mtu asioe. mf ndoa kunifutia anasa. ndoa kuniwajibisha zaidi ya kawaida wengine waishi. ndoa kunifanya nimjue mwanamke zaid, ili iweje?1. Ndoa inakujengea heshima kwenye jamii
2. Ndoa inakufanya usiwe mtu wa kurelax na uwe mtu wa kuwajibika
3. Ndoa inakufanya usahau anasa zingine za duniani
4. Ndoa inakufanya uishi maisha yenye furaha (ikiwa utafuata kanuni za maisha ya ndoa)
5. Ndoa inakufundisha namna sahihi ya malezi ya watoto
6. Ndoa inakufundisha jinsi gani ya kuishi na mwanamke na kujua tabia zake kiundani
7. Ndoa kiroho inawaunganisha kifamilia na Mungu
8. Ndoa inakufanya uachane na maisha/matendo ya kihuni/kisela/kibaharia na kufikiri kikubwa zaidi
Hizo ni kwa uchache, ila ukiwa ni walewale wa '' KAMA NAPATA MAZIWA NA NYAMA, NG'OMBE WA NINI?' Achana kabisa na suala la ndoa maana halikufai, bali starehe na anasa za dunia ndizo zinakufaa
Na pia kwa kuongezea, suala la ndoa sio la mchezomchezo/lelemama/kuchukulia poa, kama unaona HAUJAWA TAYARI kuoa ni mara kumi ubakie single milele kuliko kuingia kwenye taasisi hii ya ndoa, usije ukaharibu hisia za watoto wa watu huko... JIPANGE NDOA YAHITAJI COMMITTMENT na sio mchezomchezo
hakuna mtu hapa wakuu😆😆Thanx bro kumbe tupo wengi wenye mtazamo kama huu
mkuu we naona hatuelewanihiyo orodha haijaonyesha faida ya kuoa kama mleta mada alivyotarajia. naona tu umeorodhesha hali unayokuwemo ukioa. na bahat mbaya mengi umetaja ni ya kumkimbiza mtu asioe. mf ndoa kunifutia anasa. ndoa kuniwajibisha zaidi ya kawaida wengine waishi. ndoa kunifanya nimjue mwanamke zaid, ili iweje?