Je, ni nani ana tabia kama zangu?

Je, ni nani ana tabia kama zangu?

Shida yako ni moja tu "unahitaji kipato cha kuelewela" ukipata hayo mengine yataondoka yenyewe

Hapo kuna tabia mie huwa zinakuja nikiwa sina kabisa hela especially hiyo kutopokea simu, utapiga naangalia tu
Haah umejuaje madam.
 
Kupata mawazo kwa sababu wanaokuzunguka wamekupita mafanikio hizo si dalili njema.
 
Sasa huyo mke ulimpataje na hizo tabia za hovyo kiasi hicho?
 
Tatizo kubwa hapo linasababisha hayo yote ni kuchelewa kulala unaweza sema utani

Hilo tatizo ukilitibu umemaliza hayo yote
Nashukuru nimepata mtu wa sample....

Wewe umeharibu mfumo wa usingizi unaitwa circadian clock... yaani kupata usingizi muda sahihi inatakiwa uwe unalala kuanzia saa tano kila siku ili kurekebisha mfumo huu wa circadian sleep

Amka mapema sana hakikisha jua la asubuhi linakupiga kila siku inaitwa light therapy hii

Ukilala hivi kwa muda wa week tatu
Matatizo yako yote yataisha ...mimi niamini mimi

Nakushauri tumia dawa diazepam /valium kwa muda wa week moja ikusaidie kuweka mfumo sawa circadian clock hizo valium tumia week tu...hizi dawa kuwa nazo makini usitumie zaidi ya week na meza muda wa saa tano kamili usiku ikipita hapo usimeze

Acha kutumia simu muda wa kulala hii ndo shida yako kuuu nunua simu ya kitochi kipindi hiki kuchat tumia computer

Nimekusaidia haya kama mtaalam wa hilo tatizo mwenye experience ....

So ukiamka unakuwa moodless maana umelala muda sio sahihi unapoteza mood kufanya jambo lolote.. .
Sasa atalala vipi mapema kama ana changamoto zinazomnyima usingizi?

Usingizi hauwezi kuja kama mtu anapitia wakati mgumu.
 
Ni Vema utambue kuwa Mungu anatumia watu kuinua watu. Hivyo, kama hautaki kuwa karibu na watu kufanikiwa kwako kutakuwa ni ngumu sana. Ni kweli huwezi kuwa rafiki wa kila mtu lkn chagua mtu mmoja au wawili waliofanikiwa katka jambo unalolifanya au linalokuingizia kipato na ujifunze kutoka kwao. Kwa mtazamo wangu ni kama huoni umuhimu wa watu na ndiyo maana huoni sababu ya kuwasilisna nao. Mawasiliano ni muhimu sana achana na tabia ya kupuuza calls au text za watu! Heshimu watu kwasababu mafanikio yapo mikononi mwao na utafanikiwa.
 
Hayo maisha ndio wanaishi wazungu ila huku uswahilini utaambiwa una matatizo ya akili.
 
Hello.

Ni nani aliye na Hizi tabia .

1. Nachelewa sana kulala hadi nagombana na mke wangu.

2. Mvivu kupokea simu ,ninaweza kuiona itaita ila nitakupigia au kukutumia sms tu.

3. Ninafanya jambo ninapojisikia Tu,mfano mtu anaweza kunitumia sms kesho nitaiibu muda wowote ninaoutaka mimi hata nikiblue tick.

4. Nakaribia miaka 30 ila sina rafiki yeyote niliyeanza nae tuseme sekondari au chuo wote nimejikuta nawapotezee mara baada ya kuona wao wamenipita mafanikio sijisikii kuendelea kumake bond nao.

5. Niko karibu na watu mbalimbali ila wao uanza kufanikiwa mapema kabla ya mie iwe biashara ,kazi mpaka nahisi nimerogwa.

6. Ni mtu nisiyejali kumtafuta mtu kwa simu labda hadi tatizo hasa msiba ila sina mazoea ya kuwasialiana na watu kwa simu au njia yeyote.

7. Siko Romantic hata mke wangu anaumia Juu ya hilo.

8. Kitu kidogo nawaza mpaka naumwa kichwa nikikosa jibu kama niko free ninaweza kulala kutwa nzima au simu tu.

9. Ni mtu wasiwasi na Muda wote nimekuwa nikiwaza kufakufa tu.

10. Sina interest na mapenzi japo nina mke.
Afya ya akili ni serious issue
 
Biological make up. Utashauriwa sana ilabkama uliumbwa hivyo huto ni wewe hakuna mfano wako. Unawezabjitahidi sana kubarika ukawezabkwa kipindi flani ila baadae utarudi kwenye default settings zako. Huyo ndio wewe mkuu, kwenye hayo yote hakuna hata moja unalovunja sheria ya nchi. Hivyo kama una kereka na ulivyo fanya namna ubarike, ukishindwa baki ulivyo. Huyo ndio wewe.

Kwenye hizo sifa mimi nina zaidi ya tano. Ila huyu ndio mimi. Mimi sio mtu wa kujali kabisa pengune hata zaidi yako. Mimi watu wanaweza sikitika juu ya jambo baya, ila mimi kama nitasikitika basi ni usoni tu ila moyo hauhisi chochote. Unaweza nipigia simu nikaiona ila kama nakujua huna cha maana naweza nikakutafuta hata kesho na apologies nyingi. Na ni muda wote mimi niko na simu. Nafanya biashara hivyo simu yangu muda wote ninayo, na kipigwa namba ngeni najua ninteja nipokea chap, ila kama nakujua na huna issue ya maana hapo nitaitazama tu.

Mwaka juzi mwishoni mama aliumwa sana tukawa tunamuuguza. Wenzangu walikua na majonzi na mishtuko mimi wala nilikua nafanya vile inavyopaswa kuwa kiume zaidi bilabkuonesha masikitiko. Mwaka jama mwanzoni mama alifariki. Nilisimama vizuri kama mtoto wa kiume tukafanya mazishi tukamaliza. Baadavya msiba shemeji yangu aliniambia, "shem wewe ni jiwe sana, wakati wenzio wana taharuki wewe unachukulia vitu kawaida tu, kuna muda wenzio hawakuwa na utulivu kabisa na hawakujua wafanye nini, ila wewe neno lako moja tu lilikua linatoa mwanga na watu wanapona mioyo" siku huo ndio nilijua kuwa kumbe hali yangu sio hasara ni faida kwenye baadhi ya mambo.

Mkuu usihofu, huyo ni wewe huna haja ya kubadirika.
 
Hello.

Ni nani aliye na Hizi tabia .

1. Nachelewa sana kulala hadi nagombana na mke wangu.

2. Mvivu kupokea simu ,ninaweza kuiona itaita ila nitakupigia au kukutumia sms tu.

3. Ninafanya jambo ninapojisikia Tu,mfano mtu anaweza kunitumia sms kesho nitaiibu muda wowote ninaoutaka mimi hata nikiblue tick.

4. Nakaribia miaka 30 ila sina rafiki yeyote niliyeanza nae tuseme sekondari au chuo wote nimejikuta nawapotezee mara baada ya kuona wao wamenipita mafanikio sijisikii kuendelea kumake bond nao.

5. Niko karibu na watu mbalimbali ila wao uanza kufanikiwa mapema kabla ya mie iwe biashara ,kazi mpaka nahisi nimerogwa.

6. Ni mtu nisiyejali kumtafuta mtu kwa simu labda hadi tatizo hasa msiba ila sina mazoea ya kuwasialiana na watu kwa simu au njia yeyote.

7. Siko Romantic hata mke wangu anaumia Juu ya hilo.

8. Kitu kidogo nawaza mpaka naumwa kichwa nikikosa jibu kama niko free ninaweza kulala kutwa nzima au simu tu.

9. Ni mtu wasiwasi na Muda wote nimekuwa nikiwaza kufakufa tu.

10. Sina interest na mapenzi japo nina mke.
Fu
Hello.

Ni nani aliye na Hizi tabia .

1. Nachelewa sana kulala hadi nagombana na mke wangu.

2. Mvivu kupokea simu ,ninaweza kuiona itaita ila nitakupigia au kukutumia sms tu.

3. Ninafanya jambo ninapojisikia Tu,mfano mtu anaweza kunitumia sms kesho nitaiibu muda wowote ninaoutaka mimi hata nikiblue tick.

4. Nakaribia miaka 30 ila sina rafiki yeyote niliyeanza nae tuseme sekondari au chuo wote nimejikuta nawapotezee mara baada ya kuona wao wamenipita mafanikio sijisikii kuendelea kumake bond nao.

5. Niko karibu na watu mbalimbali ila wao uanza kufanikiwa mapema kabla ya mie iwe biashara ,kazi mpaka nahisi nimerogwa.

6. Ni mtu nisiyejali kumtafuta mtu kwa simu labda hadi tatizo hasa msiba ila sina mazoea ya kuwasialiana na watu kwa simu au njia yeyote.

7. Siko Romantic hata mke wangu anaumia Juu ya hilo.

8. Kitu kidogo nawaza mpaka naumwa kichwa nikikosa jibu kama niko free ninaweza kulala kutwa nzima au simu tu.

9. Ni mtu wasiwasi na Muda wote nimekuwa nikiwaza kufakufa tu.

10. Sina interest na mapenzi japo nina mke.
Fungua moyoo master relax,tofauti na hivyo 89 kama Babu yetu kuifikisha itakuwia ngumu.
 
Dalili za DEPRESSION ziko ivyo. Tafuta ushauri au onana na daktari. Hapo bado kuwaza kujitoa uai
 
Hello.

Ni nani aliye na Hizi tabia .

1. Nachelewa sana kulala hadi nagombana na mke wangu.

2. Mvivu kupokea simu ,ninaweza kuiona itaita ila nitakupigia au kukutumia sms tu.

3. Ninafanya jambo ninapojisikia Tu,mfano mtu anaweza kunitumia sms kesho nitaiibu muda wowote ninaoutaka mimi hata nikiblue tick.

4. Nakaribia miaka 30 ila sina rafiki yeyote niliyeanza nae tuseme sekondari au chuo wote nimejikuta nawapotezee mara baada ya kuona wao wamenipita mafanikio sijisikii kuendelea kumake bond nao.

5. Niko karibu na watu mbalimbali ila wao uanza kufanikiwa mapema kabla ya mie iwe biashara ,kazi mpaka nahisi nimerogwa.

6. Ni mtu nisiyejali kumtafuta mtu kwa simu labda hadi tatizo hasa msiba ila sina mazoea ya kuwasialiana na watu kwa simu au njia yeyote.

7. Siko Romantic hata mke wangu anaumia Juu ya hilo.

8. Kitu kidogo nawaza mpaka naumwa kichwa nikikosa jibu kama niko free ninaweza kulala kutwa nzima au simu tu.

9. Ni mtu wasiwasi na Muda wote nimekuwa nikiwaza kufakufa tu.

10. Sina interest na mapenzi japo nina mke.
Unahitaji kupata maombi ni ROHO chafu zimekuzonga
 
Mimi nisichangie chochote kuhusu nani yupo kama wewe. Ila nikwambie kitu. You are fine. Isssue to toa hiyo regretting, usi regret unachofanya. You are fine. Yaani uko sahihi. Ni ngumu sana kuwa kama ww hivo. Hata mm natamani.
Uki regret depression hii hapa. Usl regret you are fine narudia.
 
Hello.

Ni nani aliye na Hizi tabia .

1. Nachelewa sana kulala hadi nagombana na mke wangu.

2. Mvivu kupokea simu ,ninaweza kuiona itaita ila nitakupigia au kukutumia sms tu.

3. Ninafanya jambo ninapojisikia Tu,mfano mtu anaweza kunitumia sms kesho nitaiibu muda wowote ninaoutaka mimi hata nikiblue tick.

4. Nakaribia miaka 30 ila sina rafiki yeyote niliyeanza nae tuseme sekondari au chuo wote nimejikuta nawapotezee mara baada ya kuona wao wamenipita mafanikio sijisikii kuendelea kumake bond nao.

5. Niko karibu na watu mbalimbali ila wao uanza kufanikiwa mapema kabla ya mie iwe biashara ,kazi mpaka nahisi nimerogwa.

6. Ni mtu nisiyejali kumtafuta mtu kwa simu labda hadi tatizo hasa msiba ila sina mazoea ya kuwasialiana na watu kwa simu au njia yeyote.

7. Siko Romantic hata mke wangu anaumia Juu ya hilo.

8. Kitu kidogo nawaza mpaka naumwa kichwa nikikosa jibu kama niko free ninaweza kulala kutwa nzima au simu tu.

9. Ni mtu wasiwasi na Muda wote nimekuwa nikiwaza kufakufa tu.

10. Sina interest na mapenzi japo nina mke.
😬 Otikiiii
 
Back
Top Bottom