Je, ni nani aliyejenga jumba la mawe pale Morogoro Msamvu?

Je, ni nani aliyejenga jumba la mawe pale Morogoro Msamvu?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
15,812
Reaction score
40,297
Pale Morogoro msamvu kuna eneo la starehe panaitwa jumba la mawe ni magofu ya zamani sana inasemekana toka 1986 na mpaka Leo hapajaendelezwa ila kuna bar na wanapika kitimoto. Je nani alijenga eneo lile wakazi wa Morogoro mtusaidie kujua.
 
Pale Morogoro msamvu kuna eneo la starehe panaitwa jumba la mawe ni magofu ya zamani sana inasemekana toka 1986 na mpaka Leo hapajaendelezwa ila kuna bar na wanapika kitimoto. Je nani alijenga eneo lile wakazi wa Morogoro mtusaidie kujua.
Weka picha
 
Back
Top Bottom