Je, ni kweli wakili Mwabukusi ni mhaini?

Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Mkuu

You have spoken my mind, this seems to be a failing state with cowardice leaders who merely suspect the invisible threat

Mwabhukusi sio MHAINI wamemlenga kwa sababu ana hoja za msingi kuupinga mkataba wa bandari ambao una vifungu tata na havikubaliki kwa wananchi wote achilia mbali wanafiki wanaojikomba kwa kipende cha rupia na mkate.
 
Binafsi naona IGP ndiye anapaswa kukamatwa kwa makosa ya kusambaza uzushi unaozua taharuki nchini. Ametangaza kuwa akina Mwabukusi wanataka kupindua nchi. Kitu ambacho ni uwongo, uzushi na uzandiki mkubwa.



Mara aseme Eti wametoa maneno ya uchochezi?!

Sasa lipi ni lipi? !
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Mhaini kabisa tena ana hatia ahukumiwe kunyongwa hadi kufa kabisa msaliti mkubwa. Haiwezekani kazi nzuri anazofanya Dkt Samia atokee mtu wa kupinga pinga. Tunataka bandari yetu iwe na ufanisi.
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Mmeyakataa maridhiano.na nia njema ya Mama,sasa see the otherside of it.

Pigeni kelele ndio imetoka hiyo,atakuwa pale Magereza Selo kwa muda kidogo maana ndio alilochagua.Unapotangaza utanganyika ndani ya Jamhuri huo ndio Uhaini wenyewe.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Mhaini kabisa tena ana hatia ahukumiwe kunyongwa hadi kufa kabisa msaliti mkubwa. Haiwezekani kazi nzuri anazofanya Dkt Samia atokee mtu wa kupinga pinga. Tunataka bandari yetu iwe na ufanisi.
Ni kweli tunataka ufanisi bandarini, lakini kwa win win situation. Sisi twaenda kuwa vibarua kwenye shamba letu la urithi.

CCM mlaumiwe na mlaaniwe kwa kuhujumu bandari zetu
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Asanteni kwa ukarimu wenu. Watanganyika mmejua kunifurahisha.
 
Mkuu

You have spoken my mind, this seems to be a failing state with cowardice leaders who merely suspect the invisible threat

Mwabhukusi sio MHAINI wamemlenga kwa sababu ana hoja za msingi kuupinga mkataba wa bandari ambao una vifungu tata na havikubaliki kwa wananchi wote achilia mbali wanafiki wanaojikomba kwa kipende cha rupia na mkate.
Very sad, mama is just looking forward for her justification to flash off our precious bandari
 
Amina. Mipango ya Mungu ccm haiwezi pindua
Soma hapa mkuu wangu, nimeandika hii mwaka huu.
👇👇👇👇

Mungu anaifuta CCM kwa kasi ya ajabu...

Pia fuatilia threads nilizoanzisha nimetumia lugha nyepesi mno kuelezea haya yanayotukia leo.

Mungu ameondoa kauli kwa viongozi wetu, wanatenda kama yule mfalme Sauli wa Israel alivyotenda. Aliwekwa na Mungu lakini baadaye Mungu alighairi
 
Soma hapa mkuu wangu, nimeandika hii mwaka huu.
👇👇👇👇

Mungu anaifuta CCM kwa kasi ya ajabu...

Pia fuatilia threads nilizoanzisha nimetumia lugha nyepesi mno kuelezea haya yanayotukia leo.

Mungu ameondoa kauli kwa viongozi wetu, wanatenda kama yule mfalme Sauli wa Israel alivyotenda. Aliwekwa na Mungu lakini baadaye Mungu alighairi
Na mimi nilimfikiria Sauli aliyekataliwa na Mungu jinsi ambavyo alipata shida sana kutawala, hadi akaenda kwa waganga
 
Mama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.

Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.

Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
Imetafutwa namna ya kuwaweka ndani wakati mchakato wao wa DP World unakamilishwa. Hakuna kesi hapo lakini watakosa dhamana.
 
Itajulikana Mahakamani ndiko kwenye kazi ya kujua mbivu na mbichi kuhusu sheria.

Uhaini siyo lazima mtu aende na kifaru au fighter jet, bali mipango tu ikidhihiri kuwa unataka kuitoa serikali halali nje ya sanduku la kura inatosha kuwa umepanga uhaini.

Akina Lugangira mwaka 1983 walikuwa hawana silaha na kwanza Lugangira mwenyewe alikuwa Uingereza. Lakini aliunganishwa na wenzie akina Hanspope kwenye mashtaka ya uhaini.

Kauli za Mwabukusi zilitoka kwenye mwelekeo wa kisheria na kuwa za kichochezi. Isitoshe alionywa kuhusu matamshi yake na akasema yeye Mahakamani ni kama chura na maji, haogopi. Kwa hiyo tusipotezeane muda humu maana amefika anapopataka.

Cc denooJ

Kwaiyo huyu mwabukusi alitaka kumpindua raisi?????

Nyie ccm ni waoga sana wa hoja nzito mkiona mnashindwa kwa hoja mnakimbilia police na makesi ya hovyo.....

siku moja nyie mtakuwa pamoja na sisi na tutaongea kugha moja ni swala la wakati
 
Back
Top Bottom