Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,046
- 3,493
MkuuMama, shikamoo. Naomba nikuulize swali, ni kweli wakili msomi Boniface Mwabukusi ni mhaini? Maandiko yanakata kumshitaki mtu yeyote kwa uwongo.
Kama Mwabukusi alitaka kukuua ama kukupindua au kukufanyia lolote baya kuathiri utawala wako, basi anastahili kuadhibiwa adhabu kali.
Mama, tenda haki, usipotenda haki, Mungu atakuwajibisha maana kwa katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 wewe ni mkuu na hamna wa kukuwajibisha.
You have spoken my mind, this seems to be a failing state with cowardice leaders who merely suspect the invisible threat
Mwabhukusi sio MHAINI wamemlenga kwa sababu ana hoja za msingi kuupinga mkataba wa bandari ambao una vifungu tata na havikubaliki kwa wananchi wote achilia mbali wanafiki wanaojikomba kwa kipende cha rupia na mkate.