Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 473
- 1,682
Kiukweli kitendo cha kupeleka timu uwanjani wakati Bodi walishatoa taarifa kuwa mechi haipo ulikuwa utoto wa kiwango cha kimataifa.Bodi ndio wenye mamlaka, wameshasema mechi haipo wewe unatumia page yako kwenye insta unawaambia wanayanga twendeni uwanjani, wewe unabandika listi ya kikosi kwenye page, mnatia mafuta kwenye basi, mnakwenda uwanjani na mashabiki wenu wakati mapema tu mshaambiwa mechi hakuna, huo ni utoto.
Kesho yake mnabeba basi mnatia mafuta mnakwenda Bunju kutaka kucheza na Simba kama sio utoto ni nini huo.
Kumtuma Haji Manara akidanganya anaenda kutangaza foundation yake na kumzungumzia Maimartha kumbe katumwa kumtukana Rais wa TFF kama sio utoto ni nini.
Kwenda kushtaki CAS wakati unajua kabisa kuwa mechi iliahirishwa mapema kabisa na wewe barua uliipata kama sio utoto ni nini.
Kukaa kikao chenu cha utendaji na kutangaza hamtacheza tena na Simba wakati mnajua kabisa kuwa Simba akishika nafasi ya kwanza na nyie mkashika nafasi ya pili, ikabakia mechi moja tu ya Simba na Yanga na Yanga akishinda bingwa, na kwa vyovyote mtaenda kucheza hiyo fainali siku hiyo kama sio utoto ni nini huo.
Rais wenu wa klabu kuwa na tabia za kishamba za kuingia uwanjani kila mechi, hata kule kwenye kombe la Ramadhan nako amekuwa akifanya hivyo hivyo kujionyesha onyesha kwa watu huo nao ni utoto wa kiwango kile kile cha kimataifa.
Ujinga ni nini? Ujinga sio tusi.Mwalimu Nyerere alidefine ujinga na upumbavu.Mjinga ni mtu asiyejua kitu, akielimishwa anaondokana na ujinga, mpumbavu ni idiot, huyo ni yule ambaye ametoka kwenye ujinga lakini bado haonekani kuwa mwelewa, yaani amevuka kiwango mtu mpumbavu.
Mamlaka ya soka nchini lazima ifike hatua iheshimiwe, hakuna mkubwa sasa hivi, Sigara alishushwa daraja kwa sakata la Peter Manyika na wakati ule Sigara alikuwa mkubwa vile vile, suseni lakini Karia hakukosea.
Acheni utoto na ujinga.Alaaa
Kesho yake mnabeba basi mnatia mafuta mnakwenda Bunju kutaka kucheza na Simba kama sio utoto ni nini huo.
Kumtuma Haji Manara akidanganya anaenda kutangaza foundation yake na kumzungumzia Maimartha kumbe katumwa kumtukana Rais wa TFF kama sio utoto ni nini.
Kwenda kushtaki CAS wakati unajua kabisa kuwa mechi iliahirishwa mapema kabisa na wewe barua uliipata kama sio utoto ni nini.
Kukaa kikao chenu cha utendaji na kutangaza hamtacheza tena na Simba wakati mnajua kabisa kuwa Simba akishika nafasi ya kwanza na nyie mkashika nafasi ya pili, ikabakia mechi moja tu ya Simba na Yanga na Yanga akishinda bingwa, na kwa vyovyote mtaenda kucheza hiyo fainali siku hiyo kama sio utoto ni nini huo.
Rais wenu wa klabu kuwa na tabia za kishamba za kuingia uwanjani kila mechi, hata kule kwenye kombe la Ramadhan nako amekuwa akifanya hivyo hivyo kujionyesha onyesha kwa watu huo nao ni utoto wa kiwango kile kile cha kimataifa.
Ujinga ni nini? Ujinga sio tusi.Mwalimu Nyerere alidefine ujinga na upumbavu.Mjinga ni mtu asiyejua kitu, akielimishwa anaondokana na ujinga, mpumbavu ni idiot, huyo ni yule ambaye ametoka kwenye ujinga lakini bado haonekani kuwa mwelewa, yaani amevuka kiwango mtu mpumbavu.
Mamlaka ya soka nchini lazima ifike hatua iheshimiwe, hakuna mkubwa sasa hivi, Sigara alishushwa daraja kwa sakata la Peter Manyika na wakati ule Sigara alikuwa mkubwa vile vile, suseni lakini Karia hakukosea.
Acheni utoto na ujinga.Alaaa