Je ni kweli ukristo sio dini?

Je ni kweli ukristo sio dini?

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,788
Reaction score
5,027
Marko 16:15-16

15Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Mathayo 28:19

Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.


Tunaambiwa ukristo sio dini Hawa watu ambao yesu alikuwa anawatuma waende ulimwengu wakawafanye watu wawe wanafunzi au wafuasi wa yesu walikuwa wa dini gani ? Au Baada ya watu kuamini na kubatizwa watakuwa wa dini gani ?
 
Marko 16:15-16

15Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Mathayo 28:19

Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.


Tunaambiwa ukristo sio dini Hawa watu ambao yesu alikuwa anawatuma waende ulimwengu wakawafanye watu wawe wanafunzi au wafuasi wa yesu walikuwa wa dini gani ? Au Baada ya watu kuamini na kubatizwa watakuwa wa dini gani ?
Swali lako siyo la kijinga.
-Ukristu=unaojinasibisha na Kristu/Wamfuatao Kristu/Yesu Kristu.
-Mkristu=Mfuasi wa Yesu Kristu.
Kama Yesu Kristu aliwatuma wanafunzi waliokuwa wafuasi wake,basi walikuwa Wakristo.Maana yake ni wa kwake Kristo Yesu.Nimekujibu kwa lugha nyepesi ili uendelee kutandika kitanda.
 
Mkuu, ktakacho kupeleka peponi au motoni ni matendo yako, siyo dinii

Anza kuondoa huo ujinga kwa maelezo hayo hapo juu, ikishindikana soma haya hapa chini

Naambatisha
 
Mkuu, ktakacho kupeleka peponi au motoni ni matendo yako, siyo dinii

Anza kuondoa huo ujinga kwa maelezo hayo hapo juu, ikishindikana soma haya hapa chini

Naambatisha

Najua ivo kiongozi Ila kuna watu wanasema ukristo sio dini na yesu sio muanzilishi wa ukristo
 
Najua ivo kiongozi Ila kuna watu wanasema ukristo sio dini na yesu sio muanzilishi wa ukristo
 
Marko 16:15-16

15Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Mathayo 28:19

Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.


Tunaambiwa ukristo sio dini Hawa watu ambao yesu alikuwa anawatuma waende ulimwengu wakawafanye watu wawe wanafunzi au wafuasi wa yesu walikuwa wa dini gani ? Au Baada ya watu kuamini na kubatizwa watakuwa wa dini gani ?

Dini ni njia ya mwanadamu kumtafuta Mungu. Na njia pekee ya kumpata Mungu wa kweli ni kupitia imani katika Yesu Kristo.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yohana 14:6
 
Dini ni njia ya mwanadamu kumtafuta Mungu. Na njia pekee ya kumpata Mungu wa kweli ni kupitia imani katika Yesu Kristo.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yohana 14:6
So sweet of a comment!Merci,monsiour!🙏😂
 
Mkuu, ktakacho kupeleka peponi au motoni ni matendo yako, siyo dinii

Anza kuondoa huo ujinga kwa maelezo hayo hapo juu, ikishindikana soma haya hapa chini

Naambatisha
Dini ni Nini
 
Najua ivo kiongozi Ila kuna watu wanasema ukristo sio dini na yesu sio muanzilishi wa ukristo
Ukoo mmoja unaitwa Massawe , ulianzia kwa mzee mmoja anayeitwa Massawe . Mzee huyo alikufa akiwa ameacha watoto kumi tu duniani , Ila hakujua kuhusiana na ukoo unaoitwa Massawe, ukiachana na jina lake tu.
Baada ya miaka kuenda na kizazi cha yule mzee kuongezeka , waliitwa ni ukoo wa Massawe . Je mzee Massawe ni wa ukoo wa Massawe? Je mzee Massawe ni mwanzilishi wa Massawe?

Wakristo waliitwa ni wakristo , na sio walijiita - Kutokana na kuishi kama Kristo(Yesu) na kufuata legacy zake
Matendo 11 : 26 " Alipompata akaja naye mpaka Antiokia. Na wote wawili wakakaa huko kwa mwaka mzima, wakiwafundisha wengi walioamini katika kanisa la Antiokia. Hapo Antiokia ndipo waamini waliitwa ‘Wakristo’ kwa mara ya kwanza.

Katika Biblia neno " Dini " lina maana tofauti na yako wewe ya kuweka matabaka na kujiona bora
Yakobo 1 : 27 " Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu. "
 
Qur'an 2:
256.
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua. 256
257. Mwenyezi Mungu ni Mlinzi wa walio amini. Huwatoa gizani na kuwaingiza mwangazani. Lakini walio kufuru, walinzi wao ni Mashet'ani. Huwatoa kwenye mwangaza na kuwaingiza gizani. Hao ndio watu wa Motoni, na humo watadumu. 257
 
Dini ni nini
Ni neno linalotokana na Kiarabu ndai ya Qur'an. "Din" au Kingereza wanaandika "Deen".

Maana ya 'Deen' kwa Kiarabu​

Neno "deen" (Kiarabu: دين) ni neno lenye sura nyingi ambalo lina maana na maana mbalimbali kulingana na muktadha ambao hutumiwa. Neno la Kiarabu mara nyingi hutafsiriwa kama "dini" au "imani." Hata hivyo dhana ya deen inajumuisha zaidi ya mfumo wa imani au seti ya mazoea.

lexicon ya Kiarabu pia inafafanua deen kama "hukumu" au "sheria." Maana nyingine ya msingi ya neno deen ni "njia." Inahusu jinsi mtu anavyoishi maisha yake kulingana na mafundisho ya dini yake au mfumo wa imani. Hii haijumuishi tu mazoea yao ya kiroho, lakini pia uhusiano wao na wengine, maadili yao ya maadili, na matendo yao ulimwenguni. Deen mara nyingi hutumiwa kuelezea jinsi Waislamu wanavyoishi maisha yao kulingana na mafundisho ya Uislamu.

Chanzo: The Meaning of 'Deen' in Arabic - Quranic Arabic For Busy People
 
Qur'an 2:
256.
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua. 256
257. Mwenyezi Mungu ni Mlinzi wa walio amini. Huwatoa gizani na kuwaingiza mwangazani. Lakini walio kufuru, walinzi wao ni Mashet'ani. Huwatoa kwenye mwangaza na kuwaingiza gizani. Hao ndio watu wa Motoni, na humo watadumu. 257
Ili la magaidi kuwalazimisha watu wafate dini Yao linapatana wapi na mafundisho
 
Marko 16:15-16

15Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Mathayo 28:19

Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.


Tunaambiwa ukristo sio dini Hawa watu ambao yesu alikuwa anawatuma waende ulimwengu wakawafanye watu wawe wanafunzi au wafuasi wa yesu walikuwa wa dini gani ? Au Baada ya watu kuamini na kubatizwa watakuwa wa dini gani ?
Mataifa ni 12 tu yanayojulikana kwenye biblia. hata Yesu kishasema nyiny hana kiti chenu, soma viti vipo vingapi mbinguni:

Mathayo 19:
28 Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.
 
Back
Top Bottom