kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Marko 16:15-16
15Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Mathayo 28:19
Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.
Tunaambiwa ukristo sio dini Hawa watu ambao yesu alikuwa anawatuma waende ulimwengu wakawafanye watu wawe wanafunzi au wafuasi wa yesu walikuwa wa dini gani ? Au Baada ya watu kuamini na kubatizwa watakuwa wa dini gani ?
15Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 16Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Mathayo 28:19
Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.
Tunaambiwa ukristo sio dini Hawa watu ambao yesu alikuwa anawatuma waende ulimwengu wakawafanye watu wawe wanafunzi au wafuasi wa yesu walikuwa wa dini gani ? Au Baada ya watu kuamini na kubatizwa watakuwa wa dini gani ?