Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Wale ndugu zangu wa kataa ndoa, ndoa ni utapeli. Naomba mtupishe kidogo tuongee na wakubwa?
Leo nilikuwa nimepanda dala dala kulikuwa na mdaharo usio rasmi (mabishano) baina ya abiria mada ilikuwa ni mwanaume ukioa Kuna namna flani maisha + zinafunguka Kwa ukubwa
Mzungumzaji mmoja akasema: kiukweli ukioa na ukapata mtoto Kuna namna unapata mibaraka
Ila Kwa macho yangu ya kijasusi ninavyowaona hawa watu ni kama wapo wapo tu
NB: Je, ni kweli ukioa, maisha yanafunguka. Wale wazee wa kataa ndoa someni comments tu
Leo nilikuwa nimepanda dala dala kulikuwa na mdaharo usio rasmi (mabishano) baina ya abiria mada ilikuwa ni mwanaume ukioa Kuna namna flani maisha + zinafunguka Kwa ukubwa
Mzungumzaji mmoja akasema: kiukweli ukioa na ukapata mtoto Kuna namna unapata mibaraka
Ila Kwa macho yangu ya kijasusi ninavyowaona hawa watu ni kama wapo wapo tu
NB: Je, ni kweli ukioa, maisha yanafunguka. Wale wazee wa kataa ndoa someni comments tu