February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,205
- 3,059
Tuwe serious kidogo....Nasikia wali(Cha mtume) uliitwa hivyo kwasababu haukuwepo kabla ya Muhamad??Yaani zamani hakukuwa na mpunga kabisa na ndiyomaana hata katika biblia ni ngano mikate samaki zimetajwa hakuna wali...
Sasa siku moja mtume alipata wageni wengi na hakuwa na Chakula kwahiyo aliomba kikashushwa kwenye masinia kwa mfumo wa wali....Na ndo hapo zao la wali liliingia duniani......Hii story nineisikia sana ni kweli?
Sasa siku moja mtume alipata wageni wengi na hakuwa na Chakula kwahiyo aliomba kikashushwa kwenye masinia kwa mfumo wa wali....Na ndo hapo zao la wali liliingia duniani......Hii story nineisikia sana ni kweli?
