Shobi
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 3,401
- 4,371
Mambo vipi wakuu!
Bila shaka mtakubaliana nami kuwa ugali ni chakula kikuu katika jamii nyingi barani Africa ingawa Marekani ndio inaongoza kwa kulima mahindi duniani lakin rekodi zinaonyesha ni kwa matumizi ya mifugo.Africa ndipo sehemu mahindi yatumika sana na mara nyingi mfululizo kwenye milo yote..Ni kweli kuna baadhi ya wanaume wanaamini kabisa ugali ni chakula pekee anachoweza shiba na kutosheka.
Kumekuwapo na fununua za muda mrefu na lawama nyingi zikielekezwa kwa UGALI kuwa ndio kisababishi cha waafrika kuwa matatizo mpaka leo. Wapinzani hao wa UGALI wanatodokeza kuwa kwenye ugali kuna chembechembe adui kwa ubongo wa mwanadamu hasa ile inaitwa Phytate ambayo inazuia zink, iron n.k. kuchukuliwa kutoka tumboni.
Kwa upande wa mwingine wapo wanadai hayo ni mashambulizi hatari na matokeo yake yatakuwa mabaya sana...
Je, ni kweli ugali unadumaza ubongo?
Bila shaka mtakubaliana nami kuwa ugali ni chakula kikuu katika jamii nyingi barani Africa ingawa Marekani ndio inaongoza kwa kulima mahindi duniani lakin rekodi zinaonyesha ni kwa matumizi ya mifugo.Africa ndipo sehemu mahindi yatumika sana na mara nyingi mfululizo kwenye milo yote..Ni kweli kuna baadhi ya wanaume wanaamini kabisa ugali ni chakula pekee anachoweza shiba na kutosheka.
Kumekuwapo na fununua za muda mrefu na lawama nyingi zikielekezwa kwa UGALI kuwa ndio kisababishi cha waafrika kuwa matatizo mpaka leo. Wapinzani hao wa UGALI wanatodokeza kuwa kwenye ugali kuna chembechembe adui kwa ubongo wa mwanadamu hasa ile inaitwa Phytate ambayo inazuia zink, iron n.k. kuchukuliwa kutoka tumboni.
Kwa upande wa mwingine wapo wanadai hayo ni mashambulizi hatari na matokeo yake yatakuwa mabaya sana...
Je, ni kweli ugali unadumaza ubongo?


