Je, ni kweli ugali unadumaza Ubongo?

Je, ni kweli ugali unadumaza Ubongo?

Shobi

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2015
Posts
3,401
Reaction score
4,371
Mambo vipi wakuu!

Bila shaka mtakubaliana nami kuwa ugali ni chakula kikuu katika jamii nyingi barani Africa ingawa Marekani ndio inaongoza kwa kulima mahindi duniani lakin rekodi zinaonyesha ni kwa matumizi ya mifugo.Africa ndipo sehemu mahindi yatumika sana na mara nyingi mfululizo kwenye milo yote..Ni kweli kuna baadhi ya wanaume wanaamini kabisa ugali ni chakula pekee anachoweza shiba na kutosheka.

Kumekuwapo na fununua za muda mrefu na lawama nyingi zikielekezwa kwa UGALI kuwa ndio kisababishi cha waafrika kuwa matatizo mpaka leo. Wapinzani hao wa UGALI wanatodokeza kuwa kwenye ugali kuna chembechembe adui kwa ubongo wa mwanadamu hasa ile inaitwa Phytate ambayo inazuia zink, iron n.k. kuchukuliwa kutoka tumboni.

Kwa upande wa mwingine wapo wanadai hayo ni mashambulizi hatari na matokeo yake yatakuwa mabaya sana...

Je, ni kweli ugali unadumaza ubongo?

images (5).jpeg
 
Mambo vipi wakuu!

Bila shaka mtakubaliana nami kuwa ugali ni chakula kikuu katika jamii nyingi barani Africa ingawa Marekani ndio inaongoza kwa kulima mahindi duniani lakin rekodi zinaonyesha ni kwa matumizi ya mifugo.Africa ndipo sehemu mahindi yatumika sana na mara nyingi mfululizo kwenye milo yote..Ni kweli kuna baadhi ya wanaume wanaamini kabisa ugali ni chakula pekee anachoweza shiba na kutosheka.

Kumekuwapo na fununua za muda mrefu na lawama nyingi zikielekezwa kwa UGALI kuwa ndio kisababishi cha waafrika kuwa matatizo mpaka leo. Wapinzani hao wa UGALI wanatodokeza kuwa kwenye ugali kuna chembechembe adui kwa ubongo wa mwanadamu hasa ile inaitwa Phytate ambayo inazuia zink kuchukuliwa kutoka tumboni.

Kwa upande wa mwingine wapo wanadai hayo ni mashambulizi hatari na matokeo yake yatakuwa mabaya sana...

Je ni kweli ugali unadumaza ubongo?
View attachment 1657689
kula ugali kwa maendeleo ya afya yako
 
yaani hapa nakula zangu ugali na kinyama changu na kachumbari pembeni, na nyie mnaniletea habari za kudumaza sijui akili, kwa utamu ninaupata hapa hizo akili zidumae tu kwanza sina kazi nazo...!
Ha ha ha ha umetisha mkuu
 
Mambo vipi wakuu!

Bila shaka mtakubaliana nami kuwa ugali ni chakula kikuu katika jamii nyingi barani Africa ingawa Marekani ndio inaongoza kwa kulima mahindi duniani lakin rekodi zinaonyesha ni kwa matumizi ya mifugo.Africa ndipo sehemu mahindi yatumika sana na mara nyingi mfululizo kwenye milo yote..Ni kweli kuna baadhi ya wanaume wanaamini kabisa ugali ni chakula pekee anachoweza shiba na kutosheka.

Kumekuwapo na fununua za muda mrefu na lawama nyingi zikielekezwa kwa UGALI kuwa ndio kisababishi cha waafrika kuwa matatizo mpaka leo. Wapinzani hao wa UGALI wanatodokeza kuwa kwenye ugali kuna chembechembe adui kwa ubongo wa mwanadamu hasa ile inaitwa Phytate ambayo inazuia zink kuchukuliwa kutoka tumboni.

Kwa upande wa mwingine wapo wanadai hayo ni mashambulizi hatari na matokeo yake yatakuwa mabaya sana...

Je ni kweli ugali unadumaza ubongo?
View attachment 1657689
Zaidi ya tatizo la phytates, ugali hauna virutubisho.

Umejaa starch mostly. Wanga. Unatupa energy tu isiyo na virutubisho.

Especially ugali wa mahindi yaliyokobolewa.

Protein karibu yote tunaitupa kwa kukoboa mahindi.

Ugali wenye protein ni wa dona. Wa mahindi ambayo hayajakobolewa.

Na huu watu wengi hawaupendi.
 
Corn au mahindi ni starch , rais wa kwanz wa marekani alitumia starch ya corn kuextract plastic,.

Mahindi ni hybrid ya wild corn tunaiita teosinte , mahindi na product zake zote ni sumu kali sana na haifai kwa kuliwa na mwanadamu

,wanga ambao Mungu alitupa tuule ni

1.teff
2.splet
3.jamii za millet
 
Mambo vipi wakuu!

Bila shaka mtakubaliana nami kuwa ugali ni chakula kikuu katika jamii nyingi barani Africa ingawa Marekani ndio inaongoza kwa kulima mahindi duniani lakin rekodi zinaonyesha ni kwa matumizi ya mifugo.Africa ndipo sehemu mahindi yatumika sana na mara nyingi mfululizo kwenye milo yote..Ni kweli kuna baadhi ya wanaume wanaamini kabisa ugali ni chakula pekee anachoweza shiba na kutosheka.

Kumekuwapo na fununua za muda mrefu na lawama nyingi zikielekezwa kwa UGALI kuwa ndio kisababishi cha waafrika kuwa matatizo mpaka leo. Wapinzani hao wa UGALI wanatodokeza kuwa kwenye ugali kuna chembechembe adui kwa ubongo wa mwanadamu hasa ile inaitwa Phytate ambayo inazuia zink, iron n.k. kuchukuliwa kutoka tumboni.

Kwa upande wa mwingine wapo wanadai hayo ni mashambulizi hatari na matokeo yake yatakuwa mabaya sana...

Je ni kweli ugali unadumaza ubongo?
View attachment 1657689
hilo halina ubishi mkuu
 
Back
Top Bottom