🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄
“Nafikiri TFF wamekosea kuwasikiliza Yanga pekee kwa kumsimamisha kazi Almas Kasongo kwa matakwa ya Yanga wakati huyu ni CEO ambaye anafanya kazi na jumla ya vilabu 48, kama ingetokea nusu ya hivyo vilabu havimtaki ingekuwa sawa lakini kwa timu mmoja kutomtaka haiwezi kutoa authority kwa Shirikisho kumsimamisha.”
“Kwa hatua nyingine Steven Mguto nae ameomba kujiuzulu nafasi ikiwa ni miongoni mwa wale viongozi ambao Yanga hawamtaki, tafsri yake ni kwamba TFF inawasikiliza Yanga pekee na sio kusikiliza timu zingine.” - Alex Ngereza.
#MeaMswahiliUPDATES
View attachment 3368142