Je! Ni kweli Simba SC Hawachezi June 25?

Je! Ni kweli Simba SC Hawachezi June 25?

Bueno

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2022
Posts
34,610
Reaction score
59,579
Tusubiri kuona Wallace Karia akikikimbia kiti alichokikalia maana yeye na Bodi ya Ligi ndio kalitengeneza bomu sasa wanawatimua Mnguto na Kasongo,na yeye Wallace ajitimue pia sasa vipi Mwana FA nae atamtimua kwenye nafasi yake au itakuaje atajiuzuru?

Simba watagomea kucheza June 25 kweli km walivyoweka lile bandiko lao uchwara au ndio mikwara ya Kenge anapoona mvua inanyesha anakimbilia mtoni?

Ninavyojua ile barua yao ya juzi waliyosema hawachezi mchezo wowote mbali na mchezo wa June 15, nyuma yake kuna baraka za Naibu Waziri wa Michezo na Wallace Karia maana wote ni mashabiki wa waziwazi wa Simba SC. Japokua Wallace Karia hua anajificha kwenye kichaka cha kusema yeye sio Shabiki wa Simba ila ni Shabiki wa Coastal Union lakini Mwana FA na Wallace Karia wote ni mashabiki wa Simba wa waziwazi. Hizi sio shutuma ndio ilivyo hivyo.

Leo Jumamosi tarehe 14 June Simba SC wamesema watakua wanafanya mazoezi yao ya mwisho mwisho maana wameshapata kibari cha kufanya hivyo ili kesho basi waingie kucheza mpira na Yanga yaan maana yake kesho Simba watakua uwanjani na mashabiki zao kucheza na Yanga.

Ila niseme tu tarehe 25 June Simba wakicheza na Yanga, Simba watapigwa vibaya sana kipigo kikavu kikavu mara 3 ya kile walichopigwa na Singida Black Stars.

Na zile Spana za Manara kwenda kwa Wallace Karia nimezielewa sana.
Subiri tuone nini kinafuatia.
1749896899154.jpg

Screenshot_20250613-174210.jpg

FB_IMG_1749829197456.jpg
 
Mimi SIMBA ila wenzetu Yanga wana nguvu sana na Simba wakicheza hii mechi mm sitashabikia bongo hadi nione mabadiliko ya kweli yaan siasa na mpira vijitenge maana pshychological hii mechi ishakuwa ngumu kwetu kwakuwa Yanga mambo yao wamesikilizwa yote body imejiuzulu wakati sisi dai letu bado kuhusu waliofanya mechi isichezwe tarhe hawajaadhibiwa
 
Mimi SIMBA ila wenzetu Yanga wana nguvu sana na Simba wakicheza hii mechi mm sitashabikia bongo hadi nione mabadiliko ya kweli yaan siasa na mpira vijitenge maana pshychological hii mechi ishakuwa ngumu kwetu kwakuwa Yanga mambo yao wamesikilizwa yote body imejiuzulu wakati sisi dai letu bado kuhusu waliofanya mechi isichezwe tarhe hawajaadhibiwa
Kesho mnaenda uwanjani kufanya nini leo mnamalizia mazoezi ya mwisho ili kesho mcheze na nani?
 
hatuchezi na sisi kwanini wanasikilizwa Yanga tu bora hata tukose ubingwa kuliko kucheza hiyo mechi maana msimamo ni jambo zuri
 
Hauitambui wewe na nani Mangungu?
mimi mwanachama wa SIMBA hai nalipia kadi yangu kila mwaka huyo Mangungu mwenyewe hatumtaki amekuwa legelege angalia wenzetu Yanga viongozi wao na wakicheza hiyo mechi labda washinde vinginevyo Mangungu na genge lake out lakin mm ningekuwa kiongoz wa SIMBA hiyo mechi ingechezwa mbinguni kama tarehe 15 june haipo
 
mimi mwanachama wa SIMBA hai nalipia kadi yangu kila mwaka huyo Mangungu mwenyewe hatumtaki amekuwa legelege angalia wenzetu Yanga viongozi wao na wakicheza hiyo mechi labda washinde vinginevyo Mangungu na genge lake out lakin mm ningekuwa kiongoz wa SIMBA hiyo mechi ingechezwa mbinguni kama tarehe 15 june haipo
Kwa hio Chairman Mangungu haumtaki?
 
Wacheze.
Simba iachane na siasa za ndani kama inataka mafanikio kisoka Africa.
 
Back
Top Bottom