Je, ni kweli SAUT "wanagawa GPA kubwa" kwa wanafunzi wao ili wawe marketable kwenye soko la ajira?

Acha kudanganta kijana. Km 3.8 ya saut ingekuwa sawa na 2.2 ya udsm basi hao udsm wasingekuwa wanachukua wafunzi wa saut wasome masters pale udsm. Pia km ingekuwa hivyo basi hata kwenye soko la ajira mfano kwenye public academic institutes wangekuwa wanasema mtu akitoka saut au private university na gpa ya 3.8 then mwanafunzi wa udsm awe na gpa ya 2.2.
Ni utoto sana kuona mtu anadharau chuo cha saut lakini the same person unakuta anazisifia seminary na katoriki kuwa zinafanya vizuri sana. Je umesahau kuwa saut na seminars za katoliki ni kitu kimoja?
Mm nina uhakika kuwa km mitihani ya sekondari ingekuwa inakuwa tofauti then watu wangesema ohh hizi shule za seminary wanatoa mitihani rahisi. Ila kwakuwa mtihani ni moja bt matokeo ni tofauti ndiomana watu wanakuzikubal sana seminars.
Ninaweza kubashiri kuwa hata leo wakisema mitihani ya chuo uwe ni mmoja for all higher learning institutes, nakwambia private watakuwa na nafasi ya kufanya vizuri zaidi coz wanafundishwa unlike huku udsm ambako mh.

unamanisha aliyefail drs la saba ndiye aliyepass form 4, na alipass drs la 7 ndiye aliyefail form 4.
 
unamanisha aliyefail drs la saba ndiye aliyepass form 4, na alipass drs la 7 ndiye aliyefail form 4.

Ninaaminisha wengi ambao hawakuchaguliwa kwenda shule za sekondari za serikali na wakajiunga na seminary walifanya vizuri sana kuliko wale waliochaguliwa kwenda shule za serikali.
Kila mtu anajua kuwa shule za sekondari hata zile zinazoitwa za vipaji maalumu huwa sio kuwa wanafundisha sana ila huwa ni juhudi binafsi za wanafunzi. Ila ukienda seminary utakuta wao wanafundisha sana. Yaan wanauwezo wa kumfanya mwanafunzi ambaye alikuwa weak akawa strong sana.
Kwa mfano ukiangalia matokeo ya St . Francis utakuta kuna div one na two chache tu. Ni mala chache sana kukuta div three. Je unadhani ni kwa sababu walichukua wanafunzi wenye akili sana? Km ni hiyo ndio sababu then mbona shule za vipaji maalumu km mzumbe sekondari huwa kunakuwa na division three na four za kutosha tu.
 
Alikuja jamaa na GPA yake 3.8 na alama zake CJUI A = NA NGAPI! Alitaka kujiunga na masterz pale udsm, wataalamu wakaiingiza kwenye viwango vya UDSM, GPA ikawa 2.2? Sitaniii, ni jamaa yangu kabisa na yeye alikuwa najisifu kuwa ana GPA nzuri ya SAUT nikamwambie cku ukienda UDSM utajua kama ni nzuri au lah! Mpaka leo kimyaaaaaa....

Hizi stori huwa mnasimuliana mkiwa vijiweni mnatumia viroba na vijiti.
 
Alikuja jamaa na GPA yake 3.8 na alama zake CJUI A = NA NGAPI! Alitaka kujiunga na masterz pale udsm, wataalamu wakaiingiza kwenye viwango vya UDSM, GPA ikawa 2.2? Sitaniii, ni jamaa yangu kabisa na yeye alikuwa najisifu kuwa ana GPA nzuri ya SAUT nikamwambie cku ukienda UDSM utajua kama ni nzuri au lah! Mpaka leo kimyaaaaaa....

We Hujasoma, Kwan A Ya Saut Ni Ngapi Na Ya Udsm Ni Ngapi? Saut Wapo Juu Acha Kukariri
 
Alikuja jamaa na GPA yake 3.8 na alama zake CJUI A = NA NGAPI! Alitaka kujiunga na masterz pale udsm, wataalamu wakaiingiza kwenye viwango vya UDSM, GPA ikawa 2.2? Sitaniii, ni jamaa yangu kabisa na yeye alikuwa najisifu kuwa ana GPA nzuri ya SAUT nikamwambie cku ukienda UDSM utajua kama ni nzuri au lah! Mpaka leo kimyaaaaaa....

Wanamamlaka gani hao Udsm, mbona hawa wanapenda sana kujilinganisha wakati sokoni tunawaona wengi wabovu tu toka Udsm au kawaida kabisa
 
Alikuja jamaa na GPA yake 3.8 na alama zake CJUI A = NA NGAPI! Alitaka kujiunga na masterz pale udsm, wataalamu wakaiingiza kwenye viwango vya UDSM, GPA ikawa 2.2? Sitaniii, ni jamaa yangu kabisa na yeye alikuwa najisifu kuwa ana GPA nzuri ya SAUT nikamwambie cku ukienda UDSM utajua kama ni nzuri au lah! Mpaka leo kimyaaaaaa....

Vigezo gani vilivyotumika kufanya comparison?
 
Walimu wako serious sana,wanafundisha kiukweli na unaweza kuwafikia wakati wowote unapowahitaji.hakuna vitisho vya kijinga jinga.went there baada ya kufanya kazi miaka kadhaa,tena kufanya kozi ambayo sikua hata na msingi nayo since sekondari...but...wale Mungu awabariki!!wengine mabwana wadogo tu ila wako vizuri ajabu,ni WALIMU,SIO LECTURERS!!
 
Alikuja jamaa na GPA yake 3.8 na alama zake CJUI A = NA NGAPI! Alitaka kujiunga na masterz pale udsm, wataalamu wakaiingiza kwenye viwango vya UDSM, GPA ikawa 2.2? Sitaniii, ni jamaa yangu kabisa na yeye alikuwa najisifu kuwa ana GPA nzuri ya SAUT nikamwambie cku ukienda UDSM utajua kama ni nzuri au lah! Mpaka leo kimyaaaaaa....

Hizo GPA wanaconvertije? Kwani Saut kimekuwa chuo cha nje hiyo ni kazi ya TCU tena kwa vyuo vya nje achs kutuibia hapa.
 
ungeenda kusoma alafu uje kutwambia imekuwa vipi kama walikugawia au vipi ili na wengine tuje huko ha ha ha ha ha ha
 
daaah mtu akisema wanagawa GPA mungu amsamehe bure kwa jinsi ratiba ya saut ilivobana.Saut wanajitahidi sana kufundisha saut sio chuo cha mchezo ndugu research tu yenyewe unaweza kukonda kubaki mifupa mziki wake sio sawa na hizo term paper za vyuo vingine.
 
daaah mtu akisema wanagawa GPA mungu amsamehe bure kwa jinsi ratiba ya saut ilivobana.Saut wanajitahidi sana kufundisha saut sio chuo cha mchezo ndugu research tu yenyewe unaweza kukonda kubaki mifupa mziki wake sio sawa na hizo term paper za vyuo vingine.

Tume ya ajira, wanasema kabisa waajiri wakija wanasema tunataka candidate kutoka UDSM!
 
Tume ya ajira, wanasema kabisa waajiri wakija wanasema tunataka candidate kutoka UDSM!

Nenda sekretariet ya ajira. Waombe wakupe takwimu za watu waliowaajiri kwenye sector mbalimbali za serikali ndio utajua kuwa graduates from udsm are losing now in the labour market.
Sitaki kubishana bt jitahidi tu upate hiyo document maana tumechoka na maneno ya kufikirika
 
Mara nyingi imekuwa ujinga kusifia chuo ulichosoma maana ubora unapimwa pia na uwezo binafsi. Ila ki ukweli vyuo vya serikali vina safari ndefu sana. Vitisho kukomoana ndio
ubora wao. Ni kweli kabisa kuwa vyuo binafsi wanajitahidi sana kujenga mazingira mazuri ya kujifunzia na customer care
 
Back
Top Bottom