Je, ni kweli Samia alitengwa na Marais Wanawake kwenye Mkutano wa AU?

Je, ni kweli Samia alitengwa na Marais Wanawake kwenye Mkutano wa AU?

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,144
Reaction score
56,409
Hakuonekana akijichanganya na wenzake, inasemekana wengi walikuwa wanakwepa hata kupiga naye picha.

Mwenye picha zaidi ya hizo atuwekee hapa, nitamshukuru.

HBYIakWX0AAnVgZ.jpeg
HBV7qUNWgAArJ9D.jpeg
HBTnmyeW8AEoHNL.jpeg
HBSYP8XasAAf6t9.jpeg
 
Kwa ufupi ni kweli alikutana na hali flani ya kutengwa.

Samia kwenye huo mkutano alikuwa na hali ngumu sana tokana na mazingira tu jinsi yalivyokuwa, ye mwenyewe baada ya kusoma mazingira vyema akaamua ajitenge kivyake vyake.


Habari za mauaji zimesambaa duniani kote, nimeona videos za vijana wengi Africa wakilaani kitendo cha mauaji Tanzania wakimtaja Samia.

Hivyo kwa kiongozi yeyote kuonekana yupo karibu nae ingeleta picha ambayo sio nzuri kwa wananchi wake au mgogoro, kwa Africa na dunia nzima.
 
Ni kweli, nani anaweza kukubali kuongea na muuaji wa watu 10,000 na zaidi? Nuksi

Jiulize mwenyewe wewe ukisikia mtu kaua utakua hata na nguvu za kuongea naye?

Jiulize “critically”
Gentleman,
peleka porojo na uzushi wako nonsense kwa reporter wenu useless Lary Madow mkalenjini wa Eldoret pale Kenya, ndie pekee anaweza kufurahia porojo zako za kimamluki :1Head:
 
Gentleman,
peleka porojo na uzushi wako nonsense kwa reporter wenu useless Lary Madow mkalenjini wa Eldoret pale Kenya, ndie pekee anaweza kufurahia porojo zako za kimamluki :1Head:
Na kwenye vitabu vitakatifu imeandikwa na yule aliyemtetea muaji naye ni muuaji. Afadhali sasa hivi ungekua unatubu maana hiyo adhabu itakua si ya kwaida, inaweza ikarithisha hata vizazi vyenu.

Amini haya nayokuambia, unaweza ukapuuza lakini siku hiyo ikifika utashangaa na kuweweseka.
 
Na kwenye vitabu vitakatifu imeandikwa na yule aliyemtetea muaji naye ni muuaji. Afadhali sasa hivi ungekua unatubu maana hiyo adhabu itakua si ya kwaida, inaweza ikarithisha hata vizazi vyenu.

Amini haya nayokuambia, unaweza ukapuuza lakini siku hiyo ikifika utashangaa na kuweweseka.
huna haja ya kubabaika na mambo ya vitabu vitakatifu gentleman,
kwasababu imeandikwa wazi kuhusu KUTII MAMALAKA ZA DUNIA,

Warumi 13.

13 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. 7 Wal ipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.

Haki ya muhaini iko wazi hata kwenye biblia:1Head:
 
huna haja ya kubabaika na mambo ya vitabu vitakatifu gentleman,
kwasababu imeandikwa wazi kuhusu KUTII MAMALAKA ZA DUNIA,

Warumi 13.

13 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. 7 Wal ipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.

Haki ya muhaini iko wazi hata kwenye biblia:1Head:
Sio kila mamlaka imewekwa na Mungu.
 
Back
Top Bottom