wana jamvi ningependa mnijuze eti ni kweli nyoka anaishi milele endapo hatokabiliana na adui yeyote atakaemuuwa? maana nimelisikia hili kutoka sehemu isiyo rasmi ila ningependa kwa anaejua anijulishe....
Kiumbe anayeishi miaka mingi ni Kobe, anaweza ishi mpaka miaka 1000. Nyoka anaishi kati ya miaka 20 mpaka 50. Tembelea wikipedia utapata maelezo mazuri.
Kiumbe anayeishi miaka mingi ni Kobe, anaweza ishi mpaka miaka 1000. Nyoka anaishi kati ya miaka 20 mpaka 50. Tembelea wikipedia utapata maelezo mazuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.