Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,516
- 27,007
Wakuu, salaam!
Kumekuwa na nyuzi nyingi humu watu kulalama kuhusu ndugu zao, ndugu hivi mara ndugu vile... yaani ndugu lawama.
Binafsi sikuwahi kuwaza katika picha hiyo, ila baada ya kusikia stori za hapa na pale nikaanza kuunganisha nukta nikajikuta naanza kujenga chuki kwa ndugu.
Je, hii inaweza kuwa sababu ya baadhi ya watu kutojenga kwao licha ya kufanikiwa huko mijini?
Je, kuna ukweli kiasi gani kwamba wanaojenga kwao ni kwa hofu ya kuaibika pindi yatakapowafika?
Karibuni.
Kumekuwa na nyuzi nyingi humu watu kulalama kuhusu ndugu zao, ndugu hivi mara ndugu vile... yaani ndugu lawama.
Binafsi sikuwahi kuwaza katika picha hiyo, ila baada ya kusikia stori za hapa na pale nikaanza kuunganisha nukta nikajikuta naanza kujenga chuki kwa ndugu.
Je, hii inaweza kuwa sababu ya baadhi ya watu kutojenga kwao licha ya kufanikiwa huko mijini?
Je, kuna ukweli kiasi gani kwamba wanaojenga kwao ni kwa hofu ya kuaibika pindi yatakapowafika?
Karibuni.