Kweli mkuu wadada waje watupe jibuMwanamke mweupe anapenda mwanaume mweusi na mwanamke mweusi anapenda mwanaume mweupe kuna ukweli hapa ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongeza sauti bossWeupe au uweusi, uzuri au ubaya havina maana yoyote bali UTAMU.
Vipi kuhusu magari..?Si wanawake tu kitu chochote chenye bright color huwa kina attract. Hata kwa wanaume akipita mwarabu na msouth Sudan wa kwanza utakayemuangalia ni muarabu. Black is beauty but not attractive
Mimi huwa na changanya zote yaani NYEUPE na NYEUSI napata CHOCOLATE, kiukweli CHOCOLATE ni tamu sanaHivi jamani kuna ukweli wowote kwamba wanawake weupe ni wazuri sana kuliko weusi maana marafiki zangu wanabisha sana kuhusu hilo na je ni kwanini mwanamke mweupe anaangaliwa sana barabarani kuliko mweusi wakiwa wameongozana.