Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,021
- 26,341
Naibu Rais.....!! Dogo ana mbwembwe huyu...!! Basi huko Sauz anajiona "rais" aliyekimbia nchi baada ya utawala wake kupinduliwa. Hatari sana!!
Naibu Rais.....!! Dogo ana mbwembwe huyu...!! Basi huko Sauz anajiona "rais" aliyekimbia nchi baada ya utawala wake kupinduliwa. Hatari sana!!
Mkewe yuko pale nyumbani kwake? Nataka niende kumchukua kama kamuacha hapa Bongo ila mtoto simchukui kwani atakuja kuniletea matatizo ya baba yake huko mbeleni. Kibaka ni kibaka tu, no matter what.View attachment 1975718
Zipo tetesi kwamba yule Mkuu wa mkoa bora kuwahi kutokea nchini Tanzania , Mh Paulo Makonda amekimbilia South Africa baada ya kusoma alama za nyakati .
JF ina watu wengi kutoka sekta tofauti , kuna ukweli wowote kwenye hili , na kwanini akimbie ?
Aliteuliwa ukuu wa Wilaya kinondoni wakati wa jk, alipoingia magu akamteua mkuu wa mkoa.....akaanza mbwembwe na kigeugeu cha kudharau hata kwa waliombeba huko nyuma.....alimtaja riziwani na alienda kuhojiwaNi kweli Makonda alionea wengi na kuwaharibia sifa. Lakini Makonda kumchafuwa Ridhiwani Kikwete ni uongo mtupu. Katika dhambi zinazomkabili Makonda ni kumpiga Mzee Warioba. Ridhiwani na Makonda ni maswahiba na ndiyo maana Kikwete akamteua kwanza kwa nafasi ya mkuu wa wilaya na baadaye mkuu wa mkoa. Uteuzi wa Makonda si wa Magufuli bali Kikwete. Kosa la Magufuli lilikuwa pale alipowaondoa watu wenye majina/vyeti feki huku aklimuacha Makonda mwenye jina feki..
Mimi "nikiishi kijinga", wewe utakuwa unaishi 'kipumbavu'.Dhibitisha habari hiyo.Na udhibitishe ,alimunyima nani.Au maneno ya kusikia tu mitaani.Acha kuishi kijinga.Ishi kwa akili.Si kila neno ,unaliamini hats bila evidence.
Wewe nadhani haumo dunianiDhibitisha habari hiyo.Na udhibitishe ,alimunyima nani.Au maneno ya kusikia tu mitaani.Acha kuishi kijinga.Ishi kwa akili.Si kila neno ,unaliamini hats bila evidence.
Kwa hiyo wote tuishi kama ww, ambaye unaishi kwa habari za mitandaoni.Yaan unaishi kwa habari za uongo .Ukiambiwa dhibitisha ,huna uwezo huo.Namkumbuka Lowassa :Elimu !Elimu!!Wewe nadhani haumo duniani
Yaani ww ni mjinga na mpumbavu ,ambaye wapumbavu wanakanyaga ili waende kwa wajinga na wapumbavu wengine.Habari za uzushi ,mpekekee mama yako.Mimi "nikiishi kijinga", wewe utakuwa unaishi 'kipumbavu'.
Si kazi yangu kuthibitisha, nenda kawaulize waliompiga marufuku asikanyage kwenye nchi yao.
Hao waliomtuhumu kwa uharifu huo wanauwezo mkubwa zaidi yako unayeishi pangoni kujuwa wanachokisema. Kati yako na wao sina shaka ya nani wa kumuamini.
Huwezi kusema tu kwamba ni "maneno ya kusikia mitaani", huku wewe ukiwa huna nyenzo yoyote ya kujua ukweli ni upi.
Kiujumla, kwa jibu lako hili uliloweka hapa, wewe ni kiazi kwelikweli, huna kitu kichwani mwako, na sitashangaa kama wewe ndiwe muhusika mwenyewe Bashite, maana sikuwahi kumsikia akisema au akifanya lolote la maana.
Kwisha kazi yako. Huna lolote tena la maana ninaloweza kujibishana nawe hapa.Yaani ww ni mjinga na mpumbavu ,ambaye wapumbavu wanakanyaga ili waende kwa wajinga na wapumbavu wengine.Habari za uzushi ,mpekekee mama yako.
Habari za huyu bwana ni nyingi Sana,kuna wengine wanasema aliwahi kunyang'anya Pasi ya kusafiria.Aiseee !!
Peleka utoporo wako huko.Kazi majungu kama ,taarabu.Hapa ni great thinkers. Sio vimaneno vya mtaani ,ndio utuletee hapa.Kwisha kazi yako. Huna lolote tena la maana ninaloweza kujibishana nawe hapa.
Wewe m.ata.ko unataka kuaminisha watu hapa kwamba Pmpeo alimsingizia bashite kuua watu? P.imbi wwDhibitisha habari hiyo.Na udhibitishe ,alimunyima nani.Au maneno ya kusikia tu mitaani.Acha kuishi kijinga.Ishi kwa akili.Si kila neno ,unaliamini hats bila evidence.
Nionyeshe popote humu JF ulipoonyesha u-'great thinker' wako.Peleka utoporo wako huko.Kazi majungu kama ,taarabu.Hapa ni great thinkers. Sio vimaneno vya mtaani ,ndio utuletee hapa.