Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 10,093
- 21,693
Picha ya nini hii mkuu..una uza trakoo auSasa hivi ole sabai anajutia alichokifanyaView attachment 1975818
Picha ya nini hii mkuu..una uza trakoo auSasa hivi ole sabai anajutia alichokifanyaView attachment 1975818
Niambie wewe unayefikiria kimasaburiKivipi? Una akili timamu?
Inawezekana sana , unasafiri Kama wasomali au waethopia.Kivipi? Una akili timamu?
Yupo anaeunda hapa hapa dar es salaam..View attachment 1975718
Zipo tetesi kwamba yule Mkuu wa mkoa bora kuwahi kutokea nchini Tanzania , Mh Paulo Makonda amekimbilia South Africa baada ya kusoma alama za nyakati .
JF ina watu wengi kutoka sekta tofauti , kuna ukweli wowote kwenye hili , na kwanini akimbie ?
Umeandika ujinga.View attachment 1975718
Zipo tetesi kwamba yule Mkuu wa mkoa bora kuwahi kutokea nchini Tanzania , Mh Paulo Makonda amekimbilia South Africa baada ya kusoma alama za nyakati .
JF ina watu wengi kutoka sekta tofauti , kuna ukweli wowote kwenye hili , na kwanini akimbie ?
Basi sawaYupo anaeunda hapa hapa dar es salaam..
Kuuliza si ujingaUmeandika ujinga.
Huo ubora aliutoa wapi?
Kwa hiyo anashindia ugali wa mkwe?Hivi njiro ndio Africa kusini?
Mbona ni kweli.Simbachawene alitamka hayo
Tanzania ni nchi yenye watu waungwana sana. Mexico kiongozi afanye hivyo halafu aondolewe madarakani aishi na raia hivyo?Makonda yuko nyumbani kwake Kigamboni!
Honduras sio kariakoo.Yaani DAB akose pesa ya kwenda kuishi Honduras?!
Si tulikuwa tunaambiana kwamba jamaa kakwapua kwa matajiri ile mbaya!! Au tulikuwa tunamsingizia?
Via Limpopo province...Inawezekana sana , unasafiri Kama wasomali au waethopia.
Jamaa wanaingia south kila siku hawana document yeyote tena wengi wao wanapita hapa hapa Tanzania
HahahaNiliwahi kumuona LENANA HOTEL jijini mwanza , hotel inayo sadikika kuwa Ni ya mkuu wa pgo ndugu zilo.
Yupo Njiro ni headmaster wa shule yake!View attachment 1975718
Zipo tetesi kwamba yule Mkuu wa mkoa bora kuwahi kutokea nchini Tanzania , Mh Paulo Makonda amekimbilia South Africa baada ya kusoma alama za nyakati .
JF ina watu wengi kutoka sekta tofauti , kuna ukweli wowote kwenye hili , na kwanini akimbie ?
Aiseee !!Yupo Njiro ni headmaster wa shule yake!
Insider wewe ,utakuwa..nakusoma kwa umakini mno...JF.kuna watu ujanja wao uko humuhumu tu tena kwa sababu ya MaGod father nje ya hapo ni wachumba tu.....huyo jamaa ujanja wake mwisho ni pale Midland kwa nanihii , ngoja tuache tu....ujanja wake umeishia hapo....hahahaha ila yuko meza ya jirani hapa anasubiri naye kupewa kazi kama mwenzie ili wawazamishe CDM....hahahaha Bongo ngumu sana.....