Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,503
- 217,763
- Thread starter
- #121
Asante sanaYupo hapa Usagara_Misung wi- Na mfuatilia...soon nitarusha Picha/ Video,.
Asante sanaYupo hapa Usagara_Misung wi- Na mfuatilia...soon nitarusha Picha/ Video,.
AnasikiliziaWadau wanadai kajichimbia Arusha
Yupo Njiro ni headmaster wa shule yake!
Makonda yuko nyumbani kwake Kigamboni!
Yuko kwa rafiki yake kinje na abdul nsembo pale pretoria wanajadili mambo mbalimbali ya maisha
Mod nyuzi zingine ,ni kuzifuta mapema.Mleta Uzi ,anatuletea taarifa za kufikirika .Anatuletea ujinga na upumbavu anaowaza na kuifanya iwe taarifa ya kweli ,kumbe ni uongo.Swali la kwanza.Je, Makonda anakosa gani?Mbili:Kwann hakimbie ?View attachment 1975718
Zipo tetesi kwamba yule Mkuu wa mkoa bora kuwahi kutokea nchini Tanzania , Mh Paulo Makonda amekimbilia South Africa baada ya kusoma alama za nyakati .
JF ina watu wengi kutoka sekta tofauti , kuna ukweli wowote kwenye hili , na kwanini akimbie ?
Bureau de change???Makonda anamsaidia baba mkwe wake ku run Hospital yake Makonda ya "Moyo" yenye vifaa vya kisasa aliyoipata akiwa mtumishi wa uma. Iko pale Arusha nyuma ya AICC. Pia ana monitor kwa mbali Bureau de change yake katikati ya Arusha aliyojipatia baada ya kukwapua mapesa kila kona na kufunga za wengine kwa kutumia JWTZ wakati wa uhai wa baba yake. Dodoma anaangalia plots zake kwa makumi. Nadhani alishafanikiwa kubadili nyaraka mbalimbali BRELA. Pole Bashite. Pengine uta bounce back wakati flani. Nature ni nature.
Sio kila unachokijua lazima ukiweke hadharani.Makonda anamsaidia baba mkwe wake ku run Hospital yake Makonda ya "Moyo" yenye vifaa vya kisasa aliyoipata akiwa mtumishi wa uma. Iko pale Arusha nyuma ya AICC. Pia ana monitor kwa mbali Bureau de change yake katikati ya Arusha aliyojipatia baada ya kukwapua mapesa kila kona na kufunga za wengine kwa kutumia JWTZ wakati wa uhai wa baba yake. Dodoma anaangalia plots zake kwa makumi. Nadhani alishafanikiwa kubadili nyaraka mbalimbali BRELA. Pole Bashite. Pengine uta bounce back wakati flani. Nature ni nature.
Je hajakimbia ? hilo ndio swali , ulipaswa kujibu ndio au hapanaMod nyuzi zingine ,ni kuzifuta mapema.Mleta Uzi ,anatuletea taarifa za kufikirika .Anatuletea ujinga na upumbavu anaowaza na kuifanya iwe taarifa ya kweli ,kumbe ni uongo.Swali la kwanza.Je, Makonda anakosa gani?Mbili:Kwann hakimbie ?
Usisahau kumwambia aoge kabla hajarudi DarYupo hapa Usagara_Misung wi- Na mfuatilia...soon nitarusha Picha/ Video,.
Nikusaidie na swali lako, kama wewe ni mtu uishie pangoni pasipofka habari.Mod nyuzi zingine ,ni kuzifuta mapema.Mleta Uzi ,anatuletea taarifa za kufikirika .Anatuletea ujinga na upumbavu anaowaza na kuifanya iwe taarifa ya kweli ,kumbe ni uongo.Swali la kwanza.Je, Makonda anakosa gani?Mbili:Kwann hakimbie ?
Nikusaidie na swali lako, kama wewe ni mtu uishie pangoni pasipofka habari.
"Makonda anakosa gani"? Jibu, kunyima haki za watu kuishi.
Hujawahi kusikia habari hiyo hadi nchi fulani kapigwa marufuku ya kutembelea huko?
Wahenga dunia duaraKawa digidigi kwenye mashimo ama kweli dunia kuzunguzungu
Dhibitisha habari hiyo.Na udhibitishe ,alimunyima nani.Au maneno ya kusikia tu mitaani.Acha kuishi kijinga.Ishi kwa akili.Si kila neno ,unaliamini hats bila evidence.Nikusaidie na swali lako, kama wewe ni mtu uishie pangoni pasipofka habari.
"Makonda anakosa gani"? Jibu, kunyima haki za watu kuishi.
Hujawahi kusikia habari hiyo hadi nchi fulani kapigwa marufuku ya kutembelea huko?
Magufuli alipochukua madaraka alimkuta Makonda ni mkuu wa Wilaya ya Kinondoni ndipo akamteua kuwa Mkuu wa Mkoa. Siyo kweli kwamba Kikwete alimteua Makonda kuwa Kuu wa Mkoa. Rudia kujikumbusha vizuri.Ni kweli Makonda alionea wengi na kuwaharibia sifa. Lakini Makonda kumchafuwa Ridhiwani Kikwete ni uongo mtupu. Katika dhambi zinazomkabili Makonda ni kumpiga Mzee Warioba. Ridhiwani na Makonda ni maswahiba na ndiyo maana Kikwete akamteua kwanza kwa nafasi ya mkuu wa wilaya na baadaye mkuu wa mkoa. Uteuzi wa Makonda si wa Magufuli bali Kikwete. Kosa la Magufuli lilikuwa pale alipowaondoa watu wenye majina/vyeti feki huku aklimuacha Makonda mwenye jina feki..