Am For Real
Senior Member
- Nov 21, 2023
- 165
- 453
Katika pita pita zangu YouTube nikakutana na hili bandiko.
Ni kweli kabisa watu wengi wanategemea wakifanya kazi sehemu Fulani basi wapate ajira siku moja hapo hapo.
Je hii inaweza kuapply Serikalini pia kwamba ukijitolea kazi serikalini unapata kipaumbele?
Je inakuwaje Kwa watu wenye Uzoefu ambao hawajaamua kujitolea wakiomba wanyimwe? Kwa kuwa Kuna mtu kajitolea?
Je ni haki kuwanyima ajira ambao hawajajitolea? Je ni haki kuwapa ajira ambao wamejitolea tu?
Hii ni tofauti na private sector ambako anayejitolea ana uwezekano mkubwa wa kuajiriwa.
Ni kweli kabisa watu wengi wanategemea wakifanya kazi sehemu Fulani basi wapate ajira siku moja hapo hapo.
Je hii inaweza kuapply Serikalini pia kwamba ukijitolea kazi serikalini unapata kipaumbele?
Je inakuwaje Kwa watu wenye Uzoefu ambao hawajaamua kujitolea wakiomba wanyimwe? Kwa kuwa Kuna mtu kajitolea?
Je ni haki kuwanyima ajira ambao hawajajitolea? Je ni haki kuwapa ajira ambao wamejitolea tu?
Hii ni tofauti na private sector ambako anayejitolea ana uwezekano mkubwa wa kuajiriwa.