Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 480
- 571
Jack Grealish amehamia Manchester City akitokea Aston villa ambako alikuwa nahodha.
Huyu dogo ambaye amewahi kutukanwa matusi mengi asiyojua maana yake na baadhi ya Watanzania kuptia mitandao, wengi tumemjua baada ya samatta kucheza pale villa park.
Grealish amevunja rekodi kwa wachezaji wa kiingereza kwa kuuzwa bei ghali.
ni paundi milion 100 haijawahi kutokea.
Grealish yumo kwny kikosi cha timu ya taifa ya england akiwa anatokea benchi.
Kwa mantiki hii, je kweli grealish ni zaidi ya Jardon Sancho ambaye kaja united kwa pauni 76.5 kutoka dortmund?
Nina hakika kwasasa nje ya kane, hayupo england mchezaji mwenye thamani hyo.
Mwenzake samatta yeye kajiendea zake fenerbache kwa pauni 5.4 milioni tu.
what a gap!
Binafs mie namwona huyu dogo kama anakuzwa kuliko reality nyie vipi?
Je, ni kweli ana thaman hiyo.
Huyu dogo ambaye amewahi kutukanwa matusi mengi asiyojua maana yake na baadhi ya Watanzania kuptia mitandao, wengi tumemjua baada ya samatta kucheza pale villa park.
Grealish amevunja rekodi kwa wachezaji wa kiingereza kwa kuuzwa bei ghali.
ni paundi milion 100 haijawahi kutokea.
Grealish yumo kwny kikosi cha timu ya taifa ya england akiwa anatokea benchi.
Kwa mantiki hii, je kweli grealish ni zaidi ya Jardon Sancho ambaye kaja united kwa pauni 76.5 kutoka dortmund?
Nina hakika kwasasa nje ya kane, hayupo england mchezaji mwenye thamani hyo.
Mwenzake samatta yeye kajiendea zake fenerbache kwa pauni 5.4 milioni tu.
what a gap!
Binafs mie namwona huyu dogo kama anakuzwa kuliko reality nyie vipi?
Je, ni kweli ana thaman hiyo.