Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 328
- 1,209
Man city wamejitoa katika kinyang’anyiro cha kumuwania kiungo wa kiingereza anayekipiga West Ham Declan Rice.
Sababu kuu ya kujitoa ni baada ya West Ham kutaka paundi milioni 100 ili iweze kumuachia kiungo huyo wa ulinzi. Kujitoa kwa Man City kunawaacha Arsenal peke yao katika kuwania sahihi ya kiungo huyo.
Je Decline Rice ana thamani kwelu ya paundi milioni 100 au utaifa unambeba? Ana nini cha maana?