Je, ni kweli huyu Declan Rice ana thamani ya paundi milioni 100?

Andre-Pierre

JF-Expert Member
Nov 4, 2019
328
1,209
1687956431096.png

Man city wamejitoa katika kinyang’anyiro cha kumuwania kiungo wa kiingereza anayekipiga West Ham Declan Rice.

Sababu kuu ya kujitoa ni baada ya West Ham kutaka paundi milioni 100 ili iweze kumuachia kiungo huyo wa ulinzi. Kujitoa kwa Man City kunawaacha Arsenal peke yao katika kuwania sahihi ya kiungo huyo.

Je Decline Rice ana thamani kwelu ya paundi milioni 100 au utaifa unambeba? Ana nini cha maana?
 

Man city wamejitoa katika kinyang’anyiro cha kumuwania kiungo wa kiingereza anayekipiga West Ham Declan Rice.

Sababu kuu ya kujitoa ni baada ya West Ham kutaka paundi milioni 100 ili iweze kumuachia kiungo huyo wa ulinzi. Kujitoa kwa Man City kunawaacha Arsenal peke yao katika kuwania sahihi ya kiungo huyo.

Je Decline Rice ana thamani kwelu ya paundi milioni 100 au utaifa unambeba? Ana nini cha maana?
Uingereza wachezaji wazawa wanathamani kubwa sana hata kama kiwango chao ni cha kawaida.
Tanzania wachezaji wa kigeni wanathamani kubwa sana hata kama kiwango chao ni cha kawaida,
 

Man city wamejitoa katika kinyang’anyiro cha kumuwania kiungo wa kiingereza anayekipiga West Ham Declan Rice.

Sababu kuu ya kujitoa ni baada ya West Ham kutaka paundi milioni 100 ili iweze kumuachia kiungo huyo wa ulinzi. Kujitoa kwa Man City kunawaacha Arsenal peke yao katika kuwania sahihi ya kiungo huyo.

Je Decline Rice ana thamani kwelu ya paundi milioni 100 au utaifa unambeba? Ana nini cha maana?
Bora Chelsea nae alijitoa 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom