Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,077
- 4,186
Ukienda kwenye masaluni na maduka ya bidhaa za urembo unakuta makopo yanafanana na bei zimetofautiana.
Ukiuliza unaambiwa hii ni original na hii nyingine ni ya ipp.
Swali langu ni kutaka kujua kama kweli viwanda vya ipp vimekuwa vikighushi vidhaa za nje?
Kama ni kweli wanaghushi bidhaa hizo, bodi ya chakula na dawa wana taarifa? Je wamechukua hatua gani kuokoa afya za watumiaji wa bidhaa hizo?
Ukiuliza unaambiwa hii ni original na hii nyingine ni ya ipp.
Swali langu ni kutaka kujua kama kweli viwanda vya ipp vimekuwa vikighushi vidhaa za nje?
Kama ni kweli wanaghushi bidhaa hizo, bodi ya chakula na dawa wana taarifa? Je wamechukua hatua gani kuokoa afya za watumiaji wa bidhaa hizo?