Je, ni kweli Emmanuel Eboue anataka kujinyonga?

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,307
12,602
Wakuu hebu mwenye taarifa kamili ya huyu mchezaji wa Ivory coast, Emmanuel Eboue atujuze.

Nasikia kuwa amedhulumiwa mihela yake yoooote na mkewe wa kidhungu sasa anaona heri ajitoe uhai wake kwa ukata. Hii ikoje?

Nawasilisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom