THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,727
- 3,286
Ikikupendeza na wewe unda chako
Waanzishe ili WALE RUZUKU za MasikiniNimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.
Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na NCCR Mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.
Habari kamili zitawajia.
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.
Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na NCCR Mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.
Habari kamili zitawajia.
Ni jambo jema!Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.
Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na NCCR Mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.
Habari kamili zitawajia.
Dawa yako ni mkuyati tu.Mkuu Umejijibu?
Qaynday
Mzee Mdee na demu wake wao wako bize kulinda ndoa yao tu wala kwenye hicho chama cha Polepole hawapo.Mdee, Bulaya na matiko wanakwenda kujizika kabisa kisiasa.
Walitakiwa wapapatue kurudi ndani ya Chadema, na kama lingeshindikana walitakiwa wakajipendekeze ACT, naamini wangewapokea.
Lakini kitendo cha kutaka kuanzisha chama kipya bila ya kuwa na wafuasi ni kujimaliza.
ExactlyKusajili chama ati kushindana na CDM ni kujichosha.
Chama mbadala sio mpango. Chama mbadala sio maneno. Chama mbadala ni ushawishi wa mioyo ya watu. Ngoja tuwaone wakiingia mtaani kama watakonga mioyo ya watu. Si rahisi hivyo kama wanavyodhania.Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.
Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na NCCR Mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.
Habari kamili zitawajia.
Kitakuwa chama cha mashoga na wasagaji.UkorofiiiiiiNimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.
Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na NCCR Mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.
Habari kamili zitawajia.
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.
Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na NCCR Mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.
Habari kamili zitawajia.
hawana jeuri hiyo, labda wawe na baraka za CCMChama cha Polepole na Bashiru hicho