Huyu kunguni hujifanya kujua sana wakati ubongo umejaa kinyesi tu.
Nyambafu mbwa wewe
Nyambafu mbwa wewe
Inasemekana huwezi kupanga Jambo baya la 'Kuidhuru' Rwanda ukiwa ndani au nje ya nchi hiyo na kama ukipanga kufanya hivyo usijulikane mapema kwani utadhibitiwa Kikamilifu kabisa.
Pia wanasema huwezi 'Kuvamia' Mkoa wowote ule wa Rwanda hata kama Wewe ni Gaidi na ukauwa Wanyarwanda au ukawashambulia Wanajeshi wake tena 'Makomandoo' kabisa na wengine wakakimbia na kukuachia 'Vifaru' vyao.
Nasikia 'Majasusi' wa Rwanda ni wazuri sana katika 'Kunusa' hatari na wala hawana mambo mengi, hawapendi 'Sifa', hawajihusishi mno na 'Siasa' za Rwanda bali Wao wanapambana tu Kuilinda Rwanda na Wanyarwanda wote.
Je, hii ina ukweli wowote labda? Na kama ni kweli ina maana 'Mafunzo' wanayopewa 'Majasusi' wa Rwanda ni tofauti na Nchi zingine zote za EAC?