Je, ni kwanini mawaziri hawatumii Toyota Rav4 au Escudo V6

Kabisa.......wakaribie kwenye chama.......tena hasa kili time au m a t..o ya nyani zipo poa sana......nini gharama bana......
 
Hizi gari ni imara na zina 'off-road' capabilities, bila kusahau tutaokoa matrillioni ya fedha kwa kutotumia mashetani yanayobugia mafuta kwa Jina huitwa V8. JPM piga Mnada hayo mashetani yote, sio user friendly kabisa

Wewe jamaa kweli una maradhi ya moyo we unadhani hivo vi rav4 na vi escudo vitaweza mzigo, kuna kiescudo kimoja kilipiga chini rough road kisa tairi ya nyuma ilipanda kituta kidogo. Viongozi ni watu wa umuhimu sio kama wewe, wanahitaji mazingira salama na usafiri makini.
 
Wewe jamaa kweli una maradhi ya moyo we unadhani hivo vi rav4 na vi escudo vitaweza mzigo, kuna kiescudo kimoja kilipiga chini rough road kisa tairi ya nyuma ilipanda kituta kidogo. Viongozi ni watu wa umuhimu sio kama wewe, wanahitaji mazingira salama na usafiri makini.

samahan mkuu una udugu wa damu na yule singasinga tapeli wa escrow ?
 
Hizi gari ni imara na zina 'off-road' capabilities, bila kusahau tutaokoa matrillioni ya fedha kwa kutotumia mashetani yanayobugia mafuta kwa Jina huitwa V8. JPM piga Mnada hayo mashetani yote, sio user friendly kabisa

haa jamani, RAV 4? mnataka washindwe kutembea? magari aina ya RAV 4 ni madogo, zinarusha hasa kwenye matuta na barabara mbovu na mawaziri ni wazee wa safari, ukitoka dar kwenda mwanza na kurudi lazima uumwe mgongo. V8 ni gari kubwa na hazirushi, unaweza kusafiri safari ndefu na nyingi bila kuchoka na bado ukurudi ofisin na kufanya shughuli zako bila hata maumivu ya mwili.
 
haa jamani, RAV 4? mnataka washindwe kutembea? magari aina ya RAV 4 ni madogo, zinarusha hasa kwenye matuta na barabara mbovu na mawaziri ni wazee wa safari, ukitoka dar kwenda mwanza na kurudi lazima uumwe mgongo. V8 ni gari kubwa na hazirushi, unaweza kusafiri safari ndefu na nyingi bila kuchoka na bado ukurudi ofisin na kufanya shughuli zako bila hata maumivu ya mwili.
Si kweli, gari kama Escudo grande ni very comfortable!
 
Mawaziri wa serikali gani? Hata mie siafiki kutumia Rav 4 au Escudo .Kwanza unatakiwa ukumbuke hao in Waheshimiwa, pili wapo hapo kimaslahi kama chama chao CCM kilivyo kimasilahi Kwa viongozi wake kuigegedua nchi hii.Kutawala maiti Na wapumbavu raha sana .Wabunge wanakula nchi wananchi wanashindia mlo moja ila wana raha zote Na wananenepa hiyo ndio Tanzania
 
Back
Top Bottom