sychellis
Senior Member
- Oct 16, 2018
- 135
- 114
Habari wakuu, tangu wiki iliyopita natumiwa sms na bank moja hapa nchini wakiniambia laki tatu imeingia kwenye akaunti yako mara laki mbili imetoka mara laki na nusu imeingia, sasa nikawa nashangaa maana sina acount katika hiyo bank, nikahisi labda mwenye hiyo account atakuwa labda amekosea ameandika namba yangu.
Hivyo nikawapigia bank nikawaambia kwamba sina account na waache kunitumia sms lakini bado wakaendelea nikawapigia mara ya pili ila hali ikawa vilevile sms zinakuja.
Sasa majuzi wakanipigia simu wakaniambia kuhusu Mobile Bank kuunganisha account ya bank na simu ambapo nitaweza kuhamisha pesa kutoka kwenye account ya huyo mtu ambae simjui na kuingiza kwenye simu yangu na jamaa akanambia atanitumia ujumbe wavkuniunganisha na nitaweka namba ya siri mpya.
Ila mpaka sasa bado hajaniunganisha, ila ninachojiuliza akiniunganisha na nikahamisha pesa watanitafuta? Watanishtaki? Watanifunga? Iikiwa nilishawapa taarifa zaidi ya mara mbili.
Hivyo nikawapigia bank nikawaambia kwamba sina account na waache kunitumia sms lakini bado wakaendelea nikawapigia mara ya pili ila hali ikawa vilevile sms zinakuja.
Sasa majuzi wakanipigia simu wakaniambia kuhusu Mobile Bank kuunganisha account ya bank na simu ambapo nitaweza kuhamisha pesa kutoka kwenye account ya huyo mtu ambae simjui na kuingiza kwenye simu yangu na jamaa akanambia atanitumia ujumbe wavkuniunganisha na nitaweka namba ya siri mpya.
Ila mpaka sasa bado hajaniunganisha, ila ninachojiuliza akiniunganisha na nikahamisha pesa watanitafuta? Watanishtaki? Watanifunga? Iikiwa nilishawapa taarifa zaidi ya mara mbili.