Autocom inakidhi vigezo #1 hadi #5Nafahamu kuna kamouni kadhaa za uagizaji magari hapa nchini zikiwemo Beforward, autocom Japan, Sbt n.k. Naomba
Kwa vigezo vyote hapo na pia wanayo office hapa Dar.Be forward co.
Akifafanua niiteFafanua
Duuuhh
ufafanuzi tafadhaliautocom wapo vizuri! befoward majanga
Habari Mr. Mtui, ikiwa utakua na amani, unaweza kunitumia Mimi (ecarstanzania) japo ni kampuni changa na inayo chipukia.Mbona uzi umekimbiwa?
Ni vyema ukafafanua kila mtu akajua hayo majanga!autocom wapo vizuri! befoward majanga
Na mm nmeliona pia..Msisahau Instagram pia, wana service nzuri sana ya kuuza magari yaliyochakaa ya washikaji. Mtu kanunua gari miaka 10 iliyopita kwa milioni 4, anaiuza kwa milioni 6 ili apate faida wakati gari limechoka kishenzi. Wabongo kwa biashara uchwara, kwa kweli hawajambo.