Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,329
Wajuzi tafadhali mtuambie nataka kufanya uwamuzi,
Nafahamu kuna kampuni kadhaa za uagizaji magari hapa nchini zikiwemo Beforward, autocom Japan, Sbt n.k. Naomba wajuzi mtuambie kampuni ipi ni nzuri ukiitumia katika kuagiza magari.
Tafadhali lenga katika nyanja zifuatazo kama una experience mbaya ni vyema pia ukatuambia.
1. Huduma bora kwa wateja/ customer service
2. Uharaka wa kufika kwa magari.
3. Bei nafuu
4. Uhakika na usalama wa transactions.
5. Magari yenye quality nzuri.
Nafahamu kuna kampuni kadhaa za uagizaji magari hapa nchini zikiwemo Beforward, autocom Japan, Sbt n.k. Naomba wajuzi mtuambie kampuni ipi ni nzuri ukiitumia katika kuagiza magari.
Tafadhali lenga katika nyanja zifuatazo kama una experience mbaya ni vyema pia ukatuambia.
1. Huduma bora kwa wateja/ customer service
2. Uharaka wa kufika kwa magari.
3. Bei nafuu
4. Uhakika na usalama wa transactions.
5. Magari yenye quality nzuri.