Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Kuna Jambo haliko sawa kwenye Kampeni za Wagombea Urais hasa kwa mgombea wa CCM Bwana John Pombe Magufuli.
Bunge la JMT lilivunjwa mwezi June, 2020 ili Rais, Mawaziri na Wabunge waende kwenye Uchaguzi kuomba ridhaa ya wananchi ili warudi tena Ikulu, Wizarani na Bungeni.
Katika Kampeni zake Rais aliyefikia ukomo wa kukaa Ikulu Bw. John Pombe Magufuli anakwenda akiahidi kutoa pesa za miradi na fedha ati ipo.
Amefikia hata kuwapigia simu Mawaziri waliomaliza muda wao na Makatibu eti wapeleke pesa mara moja kupeleka huduma ambazo alitakiwa kuzikamliisha ndani ya miaka 5 iliyopita.
Hii naweza kuiita ni Rushwa moja kwa mojani ili aweze kupigiwa kura ifikapo tarehe 28 Okt, 2020.
NEC na TAKUKURU mnakwama wapi katika hili? Chukua hatua mapema.
Soma hiyo Makamanda.
Bunge la JMT lilivunjwa mwezi June, 2020 ili Rais, Mawaziri na Wabunge waende kwenye Uchaguzi kuomba ridhaa ya wananchi ili warudi tena Ikulu, Wizarani na Bungeni.
Katika Kampeni zake Rais aliyefikia ukomo wa kukaa Ikulu Bw. John Pombe Magufuli anakwenda akiahidi kutoa pesa za miradi na fedha ati ipo.
Amefikia hata kuwapigia simu Mawaziri waliomaliza muda wao na Makatibu eti wapeleke pesa mara moja kupeleka huduma ambazo alitakiwa kuzikamliisha ndani ya miaka 5 iliyopita.
Hii naweza kuiita ni Rushwa moja kwa mojani ili aweze kupigiwa kura ifikapo tarehe 28 Okt, 2020.
NEC na TAKUKURU mnakwama wapi katika hili? Chukua hatua mapema.
Soma hiyo Makamanda.