MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
MJ1 mie sioni kama ni vyema kumnyima mwenzio chakula yake
tatizo linakuja jambo hili inabidi ulifanye ukiwa na akili timamu na si kivingine sasa kama mwenzio kaja na kukuta umenuna akiombe gemu ..perfomance itakuwa vere poor cause ..hauko ok,hauna furaha, mambo yatakuwa bla bla
huwezi kujituma ipasavyo
thb nakuelewa mama lakini kuna watu wanasema wanaogombana ni thb na Xpin wakubwa na si wale wadogo (unaelewa ni kina nani hapa) so hata mkubwa akuudhi vipi wadogo wakitaka kuteta basi usiwakatalie!! Mimi yalishawahinikumba yaani ugomvi mkubwa hadi ukafika kwa wazee sasa moja ya sababu alizotoa mwenzangu ni kuwa eti siku hizi namnyima ndo nikajitetea kwa point yako mama nikajibiwa hayo. Ndo mana leo nikataka kujua ukweli hasa ingawa ni miaka imepita.
nikinyimwa gemu leo(let's take LEO USIKU)...!TOMORROW MORNING SHE GOES BACK HOME!.....period
nitaridhika tu!..nitakuwa NIMELEWA,MI NIKIKOJOA TU BASI...MBONJI MPAKA ASUBUHIPhewww
Hata kama mwenzio umemkosea? so ule msemo wa wanaogombana ni kina Geoff na Mtarajiwa wakubwa si wale wadogo ni kweli? lakini utaridhika kiwango kikiwa chini?
nikinyimwa gemu leo(let's take LEO USIKU)...!TOMORROW MORNING SHE GOES BACK HOME!.....period
afu kwa nini hujui jina langu lakini???
anyway ni ngumu kwa kweli mimi binafsi hiyo inakuja automatikali akiniudhi!!! I just cant wakubwa wakigomba in that case wana madhara kwa wadogo
angalizo: usinitolee mfano na Xpini, he is dangerous in himself.
bht nakuelewa mama lakini kuna watu wanasema wanaogombana ni bht na Xpin wakubwa na si wale wadogo (unaelewa ni kina nani hapa) so hata mkubwa akuudhi vipi wadogo wakitaka kuteta basi usiwakatalie!! Mimi yalishawahinikumba yaani ugomvi mkubwa hadi ukafika kwa wazee sasa moja ya sababu alizotoa mwenzangu ni kuwa eti siku hizi namnyima ndo nikajitetea kwa point yako mama nikajibiwa hayo. Ndo mana leo nikataka kujua ukweli hasa ingawa ni miaka imepita.
nimekukubali mkuu.
technically, mwanmke hana ruhusa ya kunyima mzee gemu, na anatakiwa kulia hata kama haumii wakati wa gemu, ndio maisha bwana msilete mambo ya haki sawa za beijing!!!!!!!!!!!!!!
nimekukubali mkuu.
technically, mwanmke hana ruhusa ya kunyima mzee gemu, na anatakiwa kulia hata kama haumii wakati wa gemu, ndio maisha bwana msilete mambo ya haki sawa za beijing!!!!!!!!!!!!!!
heh ...mshangao
Nyamayao naomba unisamehe but nimepata wazo toka kwenye post yako moja- Je wapwa mnasemaje juu ya adhabu ya kunyimwa gemu!! Hapana tusiite adhabu bali kwa mfano umembore/umemkosea mwenza mf. umerudi late with no reason au umemkosea tu kwa kosa la kawaida ambalo ana haki ya kuchukia.
Ukifika kwa bed ukawa unahitaji kile chakula akigoma kwa sababu ya uliyomfanyia: Je ni sawa? hutafeel offended?
Wapwa mnasemaje juu ya adhabu hii? (kwa wote)
afu kwa nini hujui jina langu lakini???
anyway ni ngumu kwa kweli mimi binafsi hiyo inakuja automatikali akiniudhi!!! I just cant wakubwa wakigomba in that case wana madhara kwa wadogo
angalizo: usinitolee mfano na Xpini, he is dangerous in himself.
sasa umenikubali bila kunigongea senksi.........?nimekukubali mkuu.
technically, mwanmke hana ruhusa ya kunyima mzee gemu, na anatakiwa kulia hata kama haumii wakati wa gemu, ndio maisha bwana msilete mambo ya haki sawa za beijing!!!!!!!!!!!!!!