MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Nyamayao naomba unisamehe but nimepata wazo toka kwenye post yako moja- Je wapwa mnasemaje juu ya adhabu ya kunyimwa gemu!! Hapana tusiite adhabu bali kwa mfano umembore/umemkosea mwenza mf. umerudi late with no reason au umemkosea tu kwa kosa la kawaida ambalo ana haki ya kuchukia.
Ukifika kwa bed ukawa unahitaji kile chakula akigoma kwa sababu ya uliyomfanyia: Je ni sawa? hutafeel offended?
Wapwa mnasemaje juu ya adhabu hii? (kwa wote)
Ukifika kwa bed ukawa unahitaji kile chakula akigoma kwa sababu ya uliyomfanyia: Je ni sawa? hutafeel offended?
Wapwa mnasemaje juu ya adhabu hii? (kwa wote)