Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Kwa kweli nimesikitishwa na Serikali za Tanzania na SA kuingilia Uchaguzi wa DRC kwa kumtetea Kabila kubaki kwenye dola kwa Gharama yoyote ile.
Je ni Haki Tanzania kuingilia uchaguzi wa DRC na kupeleka Wanajeshi wetu?
Habari zaidi download Doc ujue Serikali yetu inataka kutuingiza kwenye matatizo mengine zaidi ya haya tuliyokuwa nayo
Je ni Haki Tanzania kuingilia uchaguzi wa DRC na kupeleka Wanajeshi wetu?
Habari zaidi download Doc ujue Serikali yetu inataka kutuingiza kwenye matatizo mengine zaidi ya haya tuliyokuwa nayo