Je, Ni bao la mkono au ni typing and tallying errors?

Je, Ni bao la mkono au ni typing and tallying errors?

Mkuu hebu chukua Asilimia za Magufuli na Lowas tu jumlisha. achana na Kura za wagombea wengine pamoja na zilizoharibika.

Magufuli 71.28 %
Lowasa 35.18%

Zenyewe zinazidi 100. ..zinakuja 106.46 kweli hawa hawana undugu na Twaweza. Maana twaweza na wenyewe ndio walituzidishia asilimia.
 
Mtatafuta kila sababu za kukataa kushindwa kwenu. Kama mlivyoanza kwa kusema mtalinda kura, sasa mmeshahamia kwenye TV Station na computation ya %age. Tafuteni sababu nyingine tena na tena na tena na tena. Ila dawa ni Kukubali ukweli ili mjipange kwa 2020 (Wazungu wanasema "Twenty Twenty"). Sasa sijui Chadema itakuwa bado hai mpaka wakati huo????
 
Hapo kweli shetani yupo kazini, hadi system ya kujumlisha matokeo anaiwangia
 
Kuna makosa mengi sana kwenye matokeo yanayotolewa na tume, wanaohusika ukawa wapitie hizo data upya na kutumia hizo makosa wakati wa kubisha matokea kama watakuwa interested. mfano huu uliotoa kwa jimbo moja lakini yapo majimbo mengi yenye makosa kama haya, makosa mengine ambayo ni mengi ni kuzidi au kupungua kwa idadi ya kura wanazopata wagombea ukilinganisha na kura halali.

Ili kupata mlinganisho mzuri ukawa wachukue kura za matokeo ya ubunge kisha walinganishe na jumla ya kula za uraisi kwenye jimbo husika naamini lazima majimbo mengi hayataoana. maana kama kunaudhaifu kwenye haya ya wanayotanganza nashawishika kuamini kutakuwa na tofauti hizo.
 
Mtatafuta kila sababu za kukataa kushindwa kwenu. Kama mlivyoanza kwa kusema mtalinda kura, sasa mmeshahamia kwenye TV Station na computation ya %age. Tafuteni sababu nyingine tena na tena na tena na tena. Ila dawa ni Kukubali ukweli ili mjipange kwa 2020 (Wazungu wanasema "Twenty Twenty"). Sasa sijui Chadema itakuwa bado hai mpaka wakati huo????

Mkuu tatizo sio sababu za kukataa. Always numbers can't lie. Mtu ashinde kwa uhalali.kwani kama ccm wanakura nyingi wakizijumlisha kwa haki hawatashinda?????
 
SI mlimsilia jaji akisema wao wanasoma matokeo kama walivyopokea na hawabadilishe chochote hiyo ndio tume bana Tanzani yetu

attachment.php
 
tume!!!!we tume mkurugenzi kateuliwa na kikwete.sasa n tume hiyo
 
Wameumbuka vibaya sana sana aiseee tallying gani ya kishenzi vile....
 
Mtatafuta kila sababu za kukataa kushindwa kwenu. Kama mlivyoanza kwa kusema mtalinda kura, sasa mmeshahamia kwenye TV Station na computation ya %age. Tafuteni sababu nyingine tena na tena na tena na tena. Ila dawa ni Kukubali ukweli ili mjipange kwa 2020 (Wazungu wanasema "Twenty Twenty"). Sasa sijui Chadema itakuwa bado hai mpaka wakati huo????

Hakuna Mpemba ----- ----- km ww!
 
Mtatafuta kila sababu za kukataa kushindwa kwenu. Kama mlivyoanza kwa kusema mtalinda kura, sasa mmeshahamia kwenye TV Station na computation ya %age. Tafuteni sababu nyingine tena na tena na tena na tena. Ila dawa ni Kukubali ukweli ili mjipange kwa 2020 (Wazungu wanasema "Twenty Twenty"). Sasa sijui Chadema itakuwa bado hai mpaka wakati huo????

Unajua si kila wakati ni wakuonyesha ushabiki.wakati mwingine tumia akili sawasawa.
 
Back
Top Bottom