Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
Wakuu habari,
Jana wakati Mkuu wa nchi akizungumza na wafanyabiashara alisikika akitoa maagizo kua watumishi Fulani wakamatwe kisha 'wasondekwe ndani'
Je neno ''kusondeka ndani"ni sahihi kutumika?na kama si sahihi alipaswa kutumika neno gani mbadala?
Swala hili ni muhimu kwakua ni juzi tu katoka kukitangaza kiswahili huko Africa Kusini na kwingineko hivyo nchi yetu inatazamwa kama mfano katika lugha hii na hasa hotuba za Mkuu wa nchi.
Karibuni.
Jana wakati Mkuu wa nchi akizungumza na wafanyabiashara alisikika akitoa maagizo kua watumishi Fulani wakamatwe kisha 'wasondekwe ndani'
Je neno ''kusondeka ndani"ni sahihi kutumika?na kama si sahihi alipaswa kutumika neno gani mbadala?
Swala hili ni muhimu kwakua ni juzi tu katoka kukitangaza kiswahili huko Africa Kusini na kwingineko hivyo nchi yetu inatazamwa kama mfano katika lugha hii na hasa hotuba za Mkuu wa nchi.
Karibuni.