Je, ndoa hii nani mkosaji?

Je, ndoa hii nani mkosaji?

Hii ndoa yako ni ngumu mno. Kwa hilo nianze na pole pia unaonekana una moyo mlaini sana ukimpenda mtu, hii haifai kwa mwanaume utateseka mno hata mie ilinisumbua sana hio hali kipindi naanza mambo ya mapenzi inabidi ujifunze kuwa bandidu ikibidi sio kuvumilia upuuzi kisa unapenda na hapo ndio utayamasta vyema mahusiano, jifunze kupotezea.

Kwa ushauri tu maamuzi ni yako lakini, huyo mwanamke ni sampuli ya wale KE mwanzoni anajitia mpole ila kiuhalisia ni mnafiki tu, mtu wa visasi na malaya wa undercover. Anang'ata na kupuliza na alishaujua udhaifu wako kuwa una huruma sana na ndio amekuwa akiutumia ka silaha ya kukupelekesha because you let her use that toka mko kwenye uchumba.

Imagine, anawasiliana na ex akakudanganya still ukasamehe, na its possible alikuwa anamtia kabisa...Usaliti!!!! Na sio huyo tu pengine kuna wengine walikuwa wanapiga kisela.

Mwanamke akishakuwa mtu wa kupenda attention/entertainment za ex au wanaume tofauti huku mko kwenye uhusiano ni aidha hajakuwa tayari ama hafai kabisa na asilimia ni chache mno kuwa hata cheat na mmoja miongoni mwao.
Hakuna urafiki wa kudumu kati ya simba na swala! Mwanamke mzuri ni anayeheshimu uwepo wako zaidi kiasi cha kutowapa nafasi ME wengine wafikie kumtongoza! Tena mbaya zaidi ikiwa ushamkanya akawa mkaidi!!!

Kingine naona hukuwa na msimamo kabisa, huyo ulimuoa kwa sababu ya ulitumia hisia badala ya akili. Huruma ya mimba ila hukuwa na mapenzi ya dhati kwake na ukamuacha demu wako wa mipango kijinga kijinga tu kwa kutojielewa ukamuumiza mno.Sio rahisi kuondoa hayo maumivu kwa mtu aliyekuamini mno. Hata msamaha hauwezi futa jera moyoni na saikolojikale.

Jifunze kukaza moyo kuanzia sasa na piga chini, ulikosea sana kumuoa maana huyo mwanamke alionesha dalili zote ila ulijipa hope tu kwa vile mtamu wa mapenzi ukawa huoni ni mmbovu wa maadili.Demu anafikia mpaka kukunyima mbunye. Hio ni dharau ya kiasi gani??? Kwa hapo alipofikia ni hatari sana kwa afya yako kimwili na kiakili. Mtoto peleka kwa bibi yake usiskilize la pasta wala muhadhini. Kuwa bandidu now and forever. Usiendeshwe na hisia za mwanamke mshenzi!!!
 
Nilivyosoma nimeelewa kitu kama unauliza kosa ni la nani ?Hili kosa ni la kwako peke yako hauna hata mpambe hapo.

Unaonekana binti amekuzidi anakuona boya toka mwanzo na wewe ukawa boya kweli .Mtu mnapigana kabla ya ndoa sio Mara moja bado unaoa tu na akili yako ilikutuma ndoa ndio inabadili tabia .

Cha kufanya hapo ndio hicho ulichofikiria siamini kwamba kuna tatizo kwa sababu ulimuacha yule Wa kwanza hilo ni dua la kuku piga huyo MTU chini anza upya muda upo vinginevyo stress zitakuua.
 
Pole sana mzee, tunakosea kitu kimoja kuamini kwamba ahadi zetu za uchumba ndo kigezo sahihi cha kuchagua mke ama mume , tunasahau kusimama usiku tumuombe mungu wetu atupe wake wema , hapa ndo tunapofeli .
 
Pengine unapenda sana kuombwa msamaha! Otherwise, your marriage should have been avoided, AB INITIO!
 
Pole sana.
Nafikiri hiyo ni dalili tosha kuwa huyo mwanamke hafai.Sijui kwanini ulipuuza viashiria vya awali.Nakusihi achana naye haraka sana utakufa kama sio kwa pressure kwa magonjwa na sononi.Usijilaumu sana kwa nini umefika hapo haitokusaidia sana.Fanya mipango umwache ajipe raha na wanaume wake huyo habadiliki leo wala kesho.Jiepushe na murder case.Kuhusu nani atakufaa utalijua baada ya kumalizana na huyu.
 
Inaelekea wote nyie mlikuwa hamjamaliza ukicheche wenu so naona mnaalizia kwenye ndoa.Mkeo angekuwa humu jf nae angeeleza mavitu yako mpaka yamemfanya awe analipiza kisasi tungemuonea huruma kama tunavyokuonea huruma wewe now. So time will tell mtatulia tu umri ukifikia 40 and something
 
We mwanaume bhana viumbe adimu duniani asikuumize kichwa apite kuleee samahani zake za kishetani na kinafiki zitakuletea maradhi makubwa fanya yako mkuu wanawake wako wengi wema na wanaotamani kuolewa.

Hata hivyo umejitahidi kuvumilia Uhuni wake eti anaongea na wanaume wengine kwenye simu kitandani nawe upo akidhani umelala? Hivi kakuonaje mkuu jikomboe bhana kabla hujachelewa usikumbatie mbuyu utaumia wewe.
 
Hivi wanaume wakati mwingine tunakuwa mabwege sana. Mtu katoa ishara zote mapema lakini unamng'ang'ania. Leo hii unamlaumu eti kakutenda, kwani kafanya lipi la ajabu kulingana na tabia yake aliyoinyesha toka awali?

Tamaa huwa zinatugharimu sana.

:Silasc
 
Tamaa ilikuponza uliona huyu uliye mtoa bikira ni mshamba ukaenda kutafuta mtaalamu wa na mjuvi naye kaamua kuchanganya aina tofauti ili akuridhishe , wakati yule bikira wako ulipaswa kumhendo bikira zenyewe chache na adimu, wewe rudi tu kwa huyo bikira wako huyo mchanyanto achana naye hata kama angekuwa ndugu yangu kwenu nisinge kanyaga kwetu mke mzinzi ni aibu ya familia.
 
Duuh!! Kaka Una Moyo.
Au "Umerogwa". Kakufanyia mabaya mengi, na unayanasa Live. Lakini Still unaona Kawaida.

Mungu nijalie nisipitie haya.

"Even Heaven Cry"
 
Pole sana kaka.hiyo ni tabia yake na ni hadi yeye mwenyewe akubali kuwa hilo ni tatizo au ugonjwa, na akubali kubadirika kwasababu linahitaji mhusika kujitambua kwanza,vinginevyo juhudi zako za kumfuatilia hazitazaa matunda.

Keti naye umueleze mpango wako mzima wa kuvunja ndoa,usikie anasemaje,uamuzi wako uwe ni final,ni wewe ndiye unayepata mateso wala si ndugu za pande hizo mbili.






Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mkuu....mimba siyo ticket ya ndoa..... Nakumbuka siku moja nipo CAIRO. ...transit nakwenda TURKY..nilikutana na NIGERIAN mmoja...mimi natokea NAIROBI... Na yeye akitokea ABUJA ..wote tuna conect to INSTANBUL jamaa akaniuliza unakwenda turky.. Halafu utaenda Greece?nikamwambiya ndy ... akasema hata yeye pia ana malengo hayo....baadae ataenda either ITALY AU GERMAN.akifika GREECE.... pia akanambiya UMEOA?nikamwambiya sijaoa ila nina mtoto 1... tht was 2012..iam talking about.. jamaa akasema ana watoto 5 na kila mtoto na mama yake....akaniuliza....ukirudi UTAMUOA MAMA MTOTO WAKO?nikamwambiya kwa sasa sina mahusiano nae...tumeachana muda tu....yeye akanambiya akirudi ataangalia ktk wana wale wake 5"""ataangalia yupi MWANAMKE aliyezaa nae anafaa kuwa mke...kama hawana VIGEZO..HAWAFAI KUWA MKE..atatafuta kwengine...mimi nikamuuliza wanawake 5 ni wengi sana lazima upate 1 kati yao UOE. Sababu ya watoto..AKANAMBIYA KUZAA NA MWANAMKE SIO SABABU YA KUMUOA... akaniuliza.. kwenu TANZANIA kuna VICHAA WANAWAKE? nikamjibu ndio..wengi tu...akasema umeshawahi kuwaona PREGNANT? nikajibu ndy...akasema waliowapa MIMBA hao VICHAA sio vichaa wenzao....ni mwanaume. wenye akili timamu kabisa kama mimi na ww...NIKAONA POINTS TUPU ANAONGEA HUYU JAMAA......sasa inamaana KICHAA Akizaa na yule MWANAUME aliyempa mimba amchukuwe KICHAA AOE? Au aishi nae?nikamwambiya no...haiwezekani..basi akasema wanawake wengine hata ukizaa nao...sio ticket ya KUOA...WENGINE NI MACHIZI FRESH.. .ndy kama wewe mkuu..tangia mwanzo hukustahili kumwoa huyo mwanamke.... Ulimchukulia wa kawaida tangia mnaanza mahusiano kwa maelezo yako mwenyewe. .. Na wala halikuwa chaguo lako..ulifanya kosa kubwa kuoa...POLE SANA..
Hahahahaaaa Very interesting!
 
Back
Top Bottom