Je, nchi za wenzetu wanatumia vigezo gani kupata Waziri?

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,016
9,885
Ameandika Martin Maranja Masese.

Kiumbe ambaye CIVICS kidato cha nne alicheza na mswaki (F) anawezaje kuwa waziri wa kushughulika na masuala nyeti ya teknolojia, Habari na mawasiliano? Hatupo ‘siriazi’ kabisa wanetu.

Paula Ingabire ni Waziri wa Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Ubunifu, kachapa University of Rwanda (B.S.) na Massachusetts Institute of Technology (M.S.)

Paula akiwa Massachusetts Institute of Technology (MIT) alikuwa Mfanyakazi wa Ubunifu na Usimamizi wa Mifumo. Rwanda wamemfanya kuwa Waziri wao wa Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Ubunifu

Paula Ingabire pia alifanya kazi kama mratibu wa Smart Africa, mpango ambao unalenga kuimarisha miundombinu ya broadband kuendesha uchumi wa kijamii na kiuchumi barani Afrika.

Kabla ya kuteuliwa, Paula Ingabire alikuwa Mkuu wa mpango wa Kigali Innovation City. Kabla ya hapo, alishika wadhifa wa Mkuu wa ICT katika Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB)

Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB), ni idara ya serikali inayounganisha mashirika yote ya serikali yenye jukumu la kuvutia, kuhifadhi na kuwezesha uwekezaji katika uchumi wa taifa.

Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB) wanahusika; usajili wa biashara, uhamasishaji uwekezaji, uidhinishaji wa mazingira, ubinafsishaji, utalii, SMEs na ukuzaji wa uwezo wa watu katika sekta binafsi.

Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB) hupima mafanikio yake katika (a) uwekezaji wa moja kwa moja wa kigeni na ndani, (b) kuongezeka kwa mauzo ya nje na (c) idadi ya nafasi za kazi zilizoundwa.

Unaiona ile Visit Rwanda? Ndiyo kazi ya Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB). Wamesaini mkataba na Arsenal, Paris Saint-Germain, Basketball Africa League (BAL), Fußball-Club Bayern München, AFL.

Ukifungua portfolio ya Paula Ingabire inakueleza ni mtaalamu wa teknolojia na mwanasiasa kutoka Rwanda. Sasa fungua portfolio ya Waziri wako wa Teknolojia. Utakutana na BUMUNDA. INAKERA!

Lakini wanetu, kama nawakwaza, semeni..…

1702364127253.jpeg

Brigedia Mtikila, MMM.
 
Ameandika Martin Maranja Masese.

Kiumbe ambaye CIVICS kidato cha nne alicheza na mswaki (F) anawezaje kuwa waziri wa kushughulika na masuala nyeti ya teknolojia, Habari na mawasiliano? Hatupo ‘siriazi’ kabisa wanetu.

Paula Ingabire ni Waziri wa Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Ubunifu, kachapa University of Rwanda (B.S.) na Massachusetts Institute of Technology (M.S.)

Paula akiwa Massachusetts Institute of Technology (MIT) alikuwa Mfanyakazi wa Ubunifu na Usimamizi wa Mifumo. Rwanda wamemfanya kuwa Waziri wao wa Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Ubunifu

Paula Ingabire pia alifanya kazi kama mratibu wa Smart Africa, mpango ambao unalenga kuimarisha miundombinu ya broadband kuendesha uchumi wa kijamii na kiuchumi barani Afrika.

Kabla ya kuteuliwa, Paula Ingabire alikuwa Mkuu wa mpango wa Kigali Innovation City. Kabla ya hapo, alishika wadhifa wa Mkuu wa ICT katika Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB)

Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB), ni idara ya serikali inayounganisha mashirika yote ya serikali yenye jukumu la kuvutia, kuhifadhi na kuwezesha uwekezaji katika uchumi wa taifa.

Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB) wanahusika; usajili wa biashara, uhamasishaji uwekezaji, uidhinishaji wa mazingira, ubinafsishaji, utalii, SMEs na ukuzaji wa uwezo wa watu katika sekta binafsi.

Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB) hupima mafanikio yake katika (a) uwekezaji wa moja kwa moja wa kigeni na ndani, (b) kuongezeka kwa mauzo ya nje na (c) idadi ya nafasi za kazi zilizoundwa.

Unaiona ile Visit Rwanda? Ndiyo kazi ya Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB). Wamesaini mkataba na Arsenal, Paris Saint-Germain, Basketball Africa League (BAL), Fußball-Club Bayern München, AFL.

Ukifungua portfolio ya Paula Ingabire inakueleza ni mtaalamu wa teknolojia na mwanasiasa kutoka Rwanda. Sasa fungua portfolio ya Waziri wako wa Teknolojia. Utakutana na BUMUNDA. INAKERA!

Lakini wanetu, kama nawakwaza, semeni..…

View attachment 2840140
Brigedia Mtikila, MMM.
Kabinti kazuri haka.
 
Civics ilikuja baada ya Kufutwa Somo la Siasa
Waliosoma somo la siasa ndiyo ambao wamezaa kizazi cha wajinga kinachoendekeza uchawa na kujipendekeza. Ambao wengi wamezaliwa 70's, 80's na 90's wakiwa na umri kati ya 30-50.

Somo la siasa lilikuwa ni Indoctrination ya siasa ya ujamaa ambayo imeacha ulemavu wa kudumu kwenye akili za waliolisoma. Hao nao effects imeenda hadi kwa kizazi chao. Itachukua muda mrefu kufuta ujinga uliowaingia wao na watoto wao wote waliosoma siasa.

Tusubiri kizazi cha waliozaliwa 2000's labda wataiponya nchi
 
Waliosoma somo la siasa ndiyo ambao wamezaa kizazi cha wajinga kinachoendekeza uchawa na kujipendekeza. Ambao wengi wamezaliwa 70's, 80's na 90's wakiwa na umri kati ya 30-50.

Somo la siasa lilikuwa ni Indoctrination ya siasa ya ujamaa ambayo imeacha ulemavu wa kudumu kwenye akili za waliolisoma. Hao nao effects imeenda hadi kwa kizazi chao. Itachukua muda mrefu kufuta ujinga uliowaingia wao na watoto wao wote waliosoma siasa.

Tusubiri kizazi cha waliozaliwa 2000's labda wataiponya nchi
Chawa ni Kizazi cha akina Mwijaku ambao wamesoma Civics
 
Sifa za kuwa Waziri -TZ
Elimu darasa la saba
Ujue kusoma na kuandika
Ugombee Ubunge wa jimbo ushinde na utangazwe na Tume ya Uchaguzi
Uwe na kipaji cha kuongea, kusifu na kuabudu.
Mengine utajifunzia huko huko wizarani.
 
Kagame hataki uchawa wala kusifia na kupambia anataka kazi ukizengua anakula kichwa mazima.

Anataka watu smart kichwani watakaoifanya Rwanda kuwa nchi ya mfano barani Africa kwa kutumia akili.

Leo hii international basketball games kibao zinapigwa pale Kigali arena! amewekeza over 200 billion kufanya renovation pale Amahoro uwanja ukiisha ule Uta attract international football games kibao pale Kigali kwa kuwa utakuwa ni first class standard stadium kama soccer city pale Jozi.

Kagame anataka watu wenye akili kama mfalme wa Dubai aliebadilisha nchi ya jangwa kuwa soko la dunia na kuvutia watalii kutoka pande zote za dunia.
 
Kagame hataki uchawa wala kusifia na kupambia anataka kazi ukizengua anakula kichwa mazima.

Anataka watu smart kichwani watakaoifanya Rwanda kuwa nchi ya mfano barani Africa kwa kutumia akili.

Leo hii international basketball games kibao zinapigwa pale Kigali arena! amewekeza over 200 billion kufanya renovation pale Amahoro uwanja ukiisha ule Uta attract international football games kibao pale Kigali kwa kuwa utakuwa ni first class standard stadium kama soccer city pale Jozi.

Kagame anataka watu wenye akili kama mfalme wa Dubai aliebadilisha nchi ya jangwa kuwa soko la dunia na kuvutia watalii kutoka pande zote za dunia.
Lakini bado Rwanda ni masikini
 
Sifa za kuwa Waziri -TZ
Elimu darasa la saba
Ujue kusoma na kuandika
Ugombee Ubunge wa jimbo ushinde na utangazwe na Tume ya Uchaguzi
Uwe na kipaji cha kuongea, kusifu na kuabudu.
Mengine utajifunzia huko huko wizarani.
Ni kweli. Nilisikia ule mdahalo wa waziri na mwandishi wa habari majibu yalikuwa ni ya kupaza sauti zaidi kuliko mantiki. Waziri anaulizwa haoni kama Serikali ndiyo sababishi ya kubuni Makamu wa Rais aliko? Yeye haoni hilo wala hajibu. Anasema Serikali ndiyo ilijua Makamu wa Rais alipo lakini amesahau kuwa Serikali hiyo inawajibika kwa wananchi. Na kama Serikali ingekuwa inaundwa kutokana na uchaguzi wa haki na kweli Serikali hiyo haingekuwa na kiburi hicho cha Wazir. Hapo ndipo tatizo lilipo.
 
Ameandika Martin Maranja Masese.

Kiumbe ambaye CIVICS kidato cha nne alicheza na mswaki (F) anawezaje kuwa waziri wa kushughulika na masuala nyeti ya teknolojia, Habari na mawasiliano? Hatupo ‘siriazi’ kabisa wanetu.

Paula Ingabire ni Waziri wa Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Ubunifu, kachapa University of Rwanda (B.S.) na Massachusetts Institute of Technology (M.S.)

Paula akiwa Massachusetts Institute of Technology (MIT) alikuwa Mfanyakazi wa Ubunifu na Usimamizi wa Mifumo. Rwanda wamemfanya kuwa Waziri wao wa Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Ubunifu

Paula Ingabire pia alifanya kazi kama mratibu wa Smart Africa, mpango ambao unalenga kuimarisha miundombinu ya broadband kuendesha uchumi wa kijamii na kiuchumi barani Afrika.

Kabla ya kuteuliwa, Paula Ingabire alikuwa Mkuu wa mpango wa Kigali Innovation City. Kabla ya hapo, alishika wadhifa wa Mkuu wa ICT katika Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB)

Bodi ya Maendeleo ya Rwanda (RDB), ni idara ya serikali inayounganisha mashirika yote ya serikali yenye jukumu la kuvutia, kuhifadhi na kuwezesha uwekezaji katika uchumi wa taifa.

Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB) wanahusika; usajili wa biashara, uhamasishaji uwekezaji, uidhinishaji wa mazingira, ubinafsishaji, utalii, SMEs na ukuzaji wa uwezo wa watu katika sekta binafsi.

Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB) hupima mafanikio yake katika (a) uwekezaji wa moja kwa moja wa kigeni na ndani, (b) kuongezeka kwa mauzo ya nje na (c) idadi ya nafasi za kazi zilizoundwa.

Unaiona ile Visit Rwanda? Ndiyo kazi ya Bodi ya Maendeleo Rwanda (RDB). Wamesaini mkataba na Arsenal, Paris Saint-Germain, Basketball Africa League (BAL), Fußball-Club Bayern München, AFL.

Ukifungua portfolio ya Paula Ingabire inakueleza ni mtaalamu wa teknolojia na mwanasiasa kutoka Rwanda. Sasa fungua portfolio ya Waziri wako wa Teknolojia. Utakutana na BUMUNDA. INAKERA!

Lakini wanetu, kama nawakwaza, semeni..…

View attachment 2840140
Brigedia Mtikila, MMM.
Tz akili ndogo inaongoza akili kubwa!
 
Back
Top Bottom