Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,911
Habari zenu wadau natumaini mko njema?
Ok kama niliposema hapo juu ni kuwa nina Account nimeiona na ilikuwa yangu ila kitambo sana na sijui ata nilifungulia namba ipi pia password yake nimesahau.
Na sasa hivi nina Account nyingine ila ninachotaka ile pale niweze kuingia mule na kuweza kuifuta isionekane kabisa, msaada wenu wadau
Ok kama niliposema hapo juu ni kuwa nina Account nimeiona na ilikuwa yangu ila kitambo sana na sijui ata nilifungulia namba ipi pia password yake nimesahau.
Na sasa hivi nina Account nyingine ila ninachotaka ile pale niweze kuingia mule na kuweza kuifuta isionekane kabisa, msaada wenu wadau